Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee tani 20 si mchezo mdau. Daah safi ila kwa nini usisogee maeneo ya kange palee kuna kiwanda kikubwa tu cha unga Pembe flour nadhani wanaweza kukupa offer ya mana mdau, Au check maeneo ya pugu road huku dar kuna azam flour aweza kupa deal la ukweli mdau.Nina tani 20 za mahindi nauza, naomba ofa yako. Yako Handeni Tanga
Kwa dar kilo utauzaa bei gn?Nina tani 20 za mahindi nauza, naomba ofa yako. Yako Handeni Tanga
Ivi pugu road neo nyerere road au?Asee tani 20 si mchezo mdau. Daah safi ila kwa nini usisogee maeneo ya kange palee kuna kiwanda kikubwa tu cha unga Pembe flour nadhani wanaweza kukupa offer ya mana mdau, Au check maeneo ya pugu road huku dar kuna azam flour aweza kupa deal la ukweli mdau.
bei bossNina tani 20 za mahindi nauza, naomba ofa yako. Yako Handeni Tanga
Mkuu upo Handeni sehemu gani ?ofa yako wewe
ofa yako wewe[/QUOTE
400 kwa kilo
Ivi pugu road neo nyerere road au?
Inanichanganya kidogo
Songea utapata mengi tena pungufu ya hiyonataka 450 kwa kilo nije kuchukua...
Agro Business Iringa
Lete mwanza mkuuWadau nipo songea nataka kufanya biashara ya mahindi kuleta dar je debe ni shilingi ngapi huko
Sio kwa sasa ashachelewaSongea utapata mengi tena pungufu ya hiyo
Au kibaigwa kwa bei hiyo