Wana JF
Imekuwa ngumu sana kufahamu fursa zilipo na wapi mtu anaweza akatokea, watadharau wale ambao wanasubiri kazi za kuajiriwa serikalini na secta binafsi, ila lazima tupate pa kuanzia. sasa...
Kuna kipindi humu jukwaani habari za Greenhouse zilitrend sana na kupelekea watu kuwa na matumaini makubwa kulingana na hesabu za mamilioni zilizokuwa zinapigwa!
Hapa karibuni zimeibuka habari za...
Habari ndugu zangu wana JF, Mapema mwakani 2015 nataraj kuanza hio biashara ya uuzaji wa nyama, samaki & kuku kwenye mahotel na supermarkets mbalimbali, hivyo kama kuna mdau yeyote ambaye anafanya...
Hallo wakuu, naomba nitoe ya moyoni Ni hivi nimejenga Banda la kuku tayari na pesa yote imeishia huko nimebaki sina kitu.
Wapi naweza pata mkopo wa kuku nikaweka bandani, ninahitaji kuweka kuku...
Heshima kwemu wanaJF,
Nimeamua kuingia kwenye kilimo cha mahindi ya kuchoma ila nimekutana na changamoto ya wadudu wanaoharibu majani ya mahindi.
Naombeni msaada wa dawa gani nitumie.
Picha ziko...
Baada ya wateja wengi kutoka Dar kuongezeka, sasa tunawaletea huduma karibu. Mapema wiki ijayo Lorry lenye Ng'ombe wa mziwa litawasili Dar. Tunachokuomba ufanye wewe, ni kufika katika boma letu...
Wakuu naomba msaada kwa mwenye proposal ya kilimo cha matikiti anisaidie, nataka nijilipue huko nna ka capital kangu hapa kama mil 2
NI PM
Natanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakayeguswa na...
habarini wanajukwaa poleni na kazi za kujenga uchumi wa familia zenu.
Nahitaji kujua ni sehemu gani hapa nchini naweza kupata maembe kwa wingi na kwa bei nafuu
nashukuru
Wana jukwaa, nimelima mahindi kwa kumwagilia mkoani Iringa. Je kwa anayejua bei ya sasa kwenye soko. Nimekosea kwenye tittle moderator naomba msaada, nilimaanisha bei na sio bro.
Ndugu zangu nauliza ni sehemu gani morogoro Ambapo unaweza kununua mpunga kwa gharama nafuu kipindi cha uvunaji Na upatikanaji wa maghala kwa ujumla (vijiji gani)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.