Kilala Makusaro
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 688
- 382
Baada ya wateja wengi kutoka Dar kuongezeka, sasa tunawaletea huduma karibu. Mapema wiki ijayo Lorry lenye Ng'ombe wa mziwa litawasili Dar. Tunachokuomba ufanye wewe, ni kufika katika boma letu kisha utachagua Ng'ombe umpendaye tutapatana utalipa utapakia.
Hawa ni ngombe bora wa kisasa wa Maziwa kutoka Meru. Tutakuwa na Mitamba wenye mimba, aina kuu mbili Freshian na Eshian. Ndama na Madume tutaleta kwa special order kwasababu wateja wake ni wachache. Bei kwa Mitamba inarank from 1.6 mil to 1.8 mil kutegemeana na umri wa mimba na aina ya ng'ombe.
Ngombe hawa wanauwezo wa kutoa hadi lita 20 na zaidi kwa siku wakilishwa vizuri.Hapa nimeweka baadhi ya picha ya Ng'ombe watakaokuwepo. Kwa maelezo zaidi Tuwasiliane kwa Email estombise@gmail.com au whatsapp 0626641591
Hawa ni ngombe bora wa kisasa wa Maziwa kutoka Meru. Tutakuwa na Mitamba wenye mimba, aina kuu mbili Freshian na Eshian. Ndama na Madume tutaleta kwa special order kwasababu wateja wake ni wachache. Bei kwa Mitamba inarank from 1.6 mil to 1.8 mil kutegemeana na umri wa mimba na aina ya ng'ombe.
Ngombe hawa wanauwezo wa kutoa hadi lita 20 na zaidi kwa siku wakilishwa vizuri.Hapa nimeweka baadhi ya picha ya Ng'ombe watakaokuwepo. Kwa maelezo zaidi Tuwasiliane kwa Email estombise@gmail.com au whatsapp 0626641591