Kilimo cha Pamba Tanzania

Kilimo cha Pamba Tanzania

Ally Mabrouk

New Member
Joined
Aug 4, 2016
Posts
3
Reaction score
10
Kilimo cha mkataba ndo sulihisho pekee la matatizo lukuki yanayoikabili sekta ndogo ya pamba hapa nchini hasa ukanda wa magharibi
 
Kupitia kilimo hiki mkulima anapata uhakika wa pembejeo kwa mkopo pamoja na huduma zingine.
 
Yap!!! Ila nayo bei inangaliwe kwa makini

Pia upatikanaji wa pembejeo.
 
Nimeona wakulima wengi wa pamba hasa mkoa wa mwanza wakikipa kisogo kilimo cha pamba ambacho kinachangamoto lukuki.
Bei ya pamba ni kikwazo kiasi kwamba ni Bora kulima mahindi ambayo yana soko na pia yanaweza kutumiwa na familia husika kuliko pamba.
Wakulima wamekuwa wakipikwa( mara kadhaa) mbegu zisizoota na wakati Mwingine viuatilifu feki Hali inayoshusha uzalishaji na kuongeza umaskini.
Kumekuwa na makato mengi ktk kilo ya pamba ambayo yote humlemea mkulima huku wafanyabiashara wakipanga njama za kumuumiza mkulima.
Utashangaa makao mkuu ya bodi ya pamba yakiwa Dar es salaam ilihali zao hilo likizalishwa Kwa wingi kanda ya ziwa.
Kwa ushauri wangu ni vyema wakulima c wazalishe aina nyingine ya mazao kuliko pamba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom