Kwa kweli hawa biumbe ni wagumu kuwapata,na ukiwapata bei yake inakuwa kubwa sana kwa kilo, we are talking about more than twenty something shillings per kilo for 'dagaa',but that's not the case...
Naomba kujuzwa kama chuo kikuu cha sokoine wanatoa kozi ya ufugaji wa samaki kwa wajasiriamali .Hii ni fursa ambayo naona inalipa sana lakini ningependa kupata ujuzi wa kutosha kabla sijaingia...
habar wandugu, Naomba kuuliza je nikianza kuotesha kitinguu mwezi wa kumi na moja nitapata mazao vizur au nisubiri mwakan mwez march? Naomben ushaur ukanda wa Kilimanjaro same
Red worm au minyoo wekundu wengi wetu tunaelewa ni kwa ajili ua kulishia kuku na samaki, Ila ina kazi.nyingine ambayo ndo kubwa zaidi, nayoni kuzalishia mbolea.
Red worm huzalisha mbolea za aina...
Habari wanaJF, Nimetengeneza uzi huu ili kusaidia kurahisisha Biashara kati ya Mkulima na Mnunuzi. Kwa yeyote mwenye mazao au anahitaji mazao Basi Ukumbi ni wako!!!!
Wana JF
Imekuwa ngumu sana kufahamu fursa zilipo na wapi mtu anaweza akatokea, watadharau wale ambao wanasubiri kazi za kuajiriwa serikalini na secta binafsi, ila lazima tupate pa kuanzia. sasa...
Kuna kipindi humu jukwaani habari za Greenhouse zilitrend sana na kupelekea watu kuwa na matumaini makubwa kulingana na hesabu za mamilioni zilizokuwa zinapigwa!
Hapa karibuni zimeibuka habari za...
Habari ndugu zangu wana JF, Mapema mwakani 2015 nataraj kuanza hio biashara ya uuzaji wa nyama, samaki & kuku kwenye mahotel na supermarkets mbalimbali, hivyo kama kuna mdau yeyote ambaye anafanya...
Hallo wakuu, naomba nitoe ya moyoni Ni hivi nimejenga Banda la kuku tayari na pesa yote imeishia huko nimebaki sina kitu.
Wapi naweza pata mkopo wa kuku nikaweka bandani, ninahitaji kuweka kuku...