mariah clement
Member
- Mar 28, 2017
- 14
- 17
Habar wana JF kwa anaejua bei ya vitunguu maji kwasasa katika mikoa mbalimbal nipate mwanga
Baada ya shida na mihangaiko hayimae nimejuwa bei ya kitunguu leo tarehe 03/05/2017 kuwa n 120,000/= kwa Ilula na Ruaha mbuyuni Iringa.Habar wana JF kwa anaejua bei ya vitunguu maji kwasasa katika mikoa mbalimbal nipate mwanga
Baada ya shida na mihangaiko hayimae nimejuwa bei ya kitunguu leo tarehe 03/05/2017 kuwa n 120,000/= kwa Ilula na Ruaha mbuyuni Iringa.
Mkuu shamba liko wapi?una matarajio ya kutoa tan ngapi?na bei za jumla kwa gunia utauzaje?ukimpata mteja wa jumla ni pm mkuu,maana mimi kitunguu changu nitakitoa mda si mrefu
Poa poa mo nipo IringaShamba lipo dodoma, nategemea kutoa gunia 50+,,kuhusu bei nitaangalia na soko jinsi lilivyo,vp mkuu ulikuwa unahitaju?
Kitunguu kinaanza kurudi heshima yake.Baada ya shida na mihangaiko hayimae nimejuwa bei ya kitunguu leo tarehe 03/05/2017 kuwa n 120,000/= kwa Ilula na Ruaha mbuyuni Iringa.
Poa poa mo nipo Iringa
Nimekutumia inbox. ...nitumie # yk tuwasilianeSingida vitunguu vipo vingi sana bei kwa gunia mpk elf 80