tajirisana
Member
- Sep 29, 2010
- 83
- 22
Wana JF nimekutana na changamoto leo nilipoulizwa juu ya maharage ya FIWI na huyo mtu akaniambia yana soko sana kenya na india,
naomba mnisaidie haya maharage yanalimwaje, mbegu inapatikana wapi, yanakaa shambani kwa muda gani, na soko lake kwa ujumla yanauzwaje kwa gunia? kwa mwana JF ambaye analifahamu zao hili naomba msaada
naomba mnisaidie haya maharage yanalimwaje, mbegu inapatikana wapi, yanakaa shambani kwa muda gani, na soko lake kwa ujumla yanauzwaje kwa gunia? kwa mwana JF ambaye analifahamu zao hili naomba msaada