Je, Serikali imekataza kusafirisha mazao?

Je, Serikali imekataza kusafirisha mazao?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
82,489
Reaction score
88,633
Salaam kwenu wadau wa kilimo.Kuna tetesi kwamba serikali imezuia kusafirisha nataka hasa mahindi nje ya Nchi na pia kati ya Mkaa na mkoa.
Manake haiingii akilini Sunbawanga na MBEYA gunia la debe 6 ni around tsh.40,000 wakati kanda ya ziwa ni karibu 90,000.Kama kuna ukweli au vipi hebu tupeane tips ili tuchangamkie fursa za biashara na tuwape nafuu ya bei
 
Si kweli. Mkoa kwa mkoa unasafirisha tu ila kuna ushuru kama mzigo utazidi tani moja
 
Hujaeleweka hiyo bei ni kuuza ama gharama za ushuru wa kusafirisha
 
Kwa taarifa nilizonazo kutoka kwa wafanyabiashara ,hawaruhusiwi kusafirisha mahindi nje ya Mkaa husika ndio maana kunatofauti kubwa sana ya bei baina ya mikoa
 
Kwa kibali maalum toka kwa makonda
Siyo kweli mahindi kwa ndani ya nchi unasafirisha kokote utakapo ila tuu njee ya nchi ndio hairuhusiwi na hapa ni kuwa na ushuru tuu wa kuanzia tani mbili na kuendelea unalazimika kuzilipia ushuru huo kauze kokote ndani ya tz hakuna kikwazo.
 
Kwa kibali maalum toka kwa makonda
Siyo kweli mahindi kwa ndani ya nchi unasafirisha kokote utakapo ila tuu njee ya nchi ndio hairuhusiwi na hapa ni kuwa na ushuru tuu wa kuanzia tani mbili na kuendelea unalazimika kuzilipia ushuru huo kauze kokote ndani ya tz hakuna kikwazo.
 
Kwa kibali maalum toka kwa makonda
Siyo kweli mahindi kwa ndani ya nchi unasafirisha kokote utakapo ila tuu njee ya nchi ndio hairuhusiwi na hapa ni kuwa na ushuru tuu wa kuanzia tani mbili na kuendelea unalazimika kuzilipia ushuru huo kauze kokote ndani ya tz hakuna kikwazo.
 
Back
Top Bottom