anonymousafrica
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 611
- 641
natumia galaxy note 1 ambayo ni ya kikorea shv-e160 k
4.1.3 version
nilikua na shida kuipeleka lollipop ila njia nnayoijua mimi ni kupitia odin
leo nimedownload firmware 800mb ila kabla sjaanza kazi nimechunguza kwa makini inabidi nitumie njia ya
TRU CWM AMBAYO KWANGU NI NGENI SIIJUI KABSA
NAOMBENI MSAADA WATAALAM WA HAYA MAMBO JAMANIII
4.1.3 version
nilikua na shida kuipeleka lollipop ila njia nnayoijua mimi ni kupitia odin
leo nimedownload firmware 800mb ila kabla sjaanza kazi nimechunguza kwa makini inabidi nitumie njia ya
TRU CWM AMBAYO KWANGU NI NGENI SIIJUI KABSA
NAOMBENI MSAADA WATAALAM WA HAYA MAMBO JAMANIII