ney kush
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,422
- 955
habari wakuu
Kuna tatizo nimepata kwenye tachno boom j8 yangu .. niliiroot simu yangu hii na ikawa rooted vizuri kabisa,sasa nikainstall app inaitwa romtoolbox ile niweze kufuta whatsapp kwasababu ilikua kwenye system yao wenyewe, nikafanikiwa , sasa nikapata wazo lingine la kubadili system ui ,ambayo ilikuepo ni lollipop nikaiweka system ui ya marshmallow hapo ndio tatizo likaja ... notification bar haipo yan haionekani, na zile recent,home,back icons hazitokei yani hazipo , SASA NAOMBA MSAADA KWA ANAEFAHAMU KUHUSU HILI, AU MWENYE SYSTEM UI YA LOLLIPOP YA J8 ANISAIDIE TAFADHALI ....SHUKRAN
Kuna tatizo nimepata kwenye tachno boom j8 yangu .. niliiroot simu yangu hii na ikawa rooted vizuri kabisa,sasa nikainstall app inaitwa romtoolbox ile niweze kufuta whatsapp kwasababu ilikua kwenye system yao wenyewe, nikafanikiwa , sasa nikapata wazo lingine la kubadili system ui ,ambayo ilikuepo ni lollipop nikaiweka system ui ya marshmallow hapo ndio tatizo likaja ... notification bar haipo yan haionekani, na zile recent,home,back icons hazitokei yani hazipo , SASA NAOMBA MSAADA KWA ANAEFAHAMU KUHUSU HILI, AU MWENYE SYSTEM UI YA LOLLIPOP YA J8 ANISAIDIE TAFADHALI ....SHUKRAN