batani za simu yangu ni ngumu sana kuditect

batani za simu yangu ni ngumu sana kuditect

goodhearted

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2015
Posts
1,049
Reaction score
1,344
kama nilivyotambulisha tatizo hapo juu. simu yangu aina ya huawei y520 batani zake ni ngumu sana kuditect yaani inabidi nitumie nguvu kuzipress

tatizo lawezakuwa nini na vp kuhusu solution, pia hali ya kujizima na kuwaka yenyewe pia yaweza kuwa tatizo nini
 
Back
Top Bottom