Kaulizie China Plaza...Simu yenyewe ni condor C6 , ni simu nzuri sana na kwa bahati mbaya ilianguka na display imekufa , wadau kwa hapa dar naweza pata wapi display ya simu hii au simu yenyewe naweza kuipata maeneo gani kwa hapa dar.
kuna mtu moja anaitwa dula nitaweka no yake hapa kesho ukikosa kwake basimsaada tafadhari
Kaulizie China Plaza...