mkuu mimi naicheki hapa kwa haraka haraka nimepata matatizo haya
1. Haisuport drag and drop. Mejaribu kudgrag mziki umekataa
2. Siwezi kuopen mziki mmoja mmoja mpaka niselect folder kwa ujumla na player ndio idetect miziki yote
3. Nikiplay muziki inaniambia message hii
[TD="width: 100%, bgcolor: #FFEAFF, align: center"]
Bitmap is in PNG format ''control_pause'' not found, check that the resource file contains ''RCDATA'' resource with this name[/TD]
4. Kwenye help manual nikiclick sipati respond yoyote
5.it seems button ya play haifanyi kazi nimejaribu kudouble click mziki (bila kubonyeza play) na unaplay vizuri tu
6. Niki double click screen inakuja screen nyeupe na kijivu (mategemeo yangu ingekuja full screen).
7. Kuna icon 2 kwenye player iliochorwa alama ya computer na moja kama equaliser zote nikibinya napata same respond kama niki double click (hope kuna feature hapa hazipo)
8. Filter haifany kazi nikijaribu kuandika jina la msanii haji
9.lol na quit haifanyi kazi nikibonyeza music then quit sitoki kwenye player
mkuu tuishie hapa yasifike kumi. Mimi nina mawazo yangu kwenye player yako.
1. Eka equalizer kuchange aina ya sauti mtu anayotaka kuskia (base, pop, rock...)
2. Ongeza skin isiwe kama hvi tu. Skin ziwe za kibongo bongo mf, soko la kariakoo, mlima kilimanjaro
3. Natumia windows 8 nataka live tile kama icon ya player
4. Wakati nyimbo inaplay inaonesha mda uloenda na mda wa nyimbo ila haionesh muda ulobakia naomba ueke
ni hayo tu mkuu