Naomba msaada kuhusu iPhone

Naomba msaada kuhusu iPhone

mwanasagamba

Member
Joined
Aug 18, 2016
Posts
14
Reaction score
5
Wanajamii naomba msaada,

Simu yangu iPhone 4 niliagiziwa na kaka yangu kutoka Japan shida yake ukiweka line haisomi mtandao inaomba pin code kwa yeyote anae faham anisaidie nitachangia gharama.

Ahsante
 
Unatakiwa kujua hiyo simu ni model gani!!!! inawezekana ni toleo la Japan huku haiwezi kufanya kazi. Kwa hiyo weka model ya simu ili usaidiwe.
 
Back
Top Bottom