Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Mwenye link ya whatsapp plus anisaidie maan nimejaribu kudownload nashindwa kweny cm yangu
1 Reactions
2 Replies
939 Views
Samahani wakuu kwa kuwasumbua ila nina shida kidogo naombeni msaada wenu au mawazo yenu kwa mtu yeyote ambaye ana ujuzi juu ya jinsi ya kununua application za android kutoka kwenye google play...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kama nilivyoeleza hapo juu, simu yangu ilidondoka chini baada ya kuiwasha ikawaka lakini haifanyi kazi; ila nikipigiwa inaita tatizo kupokea na laini inasoma vizuri, nifanyeje na simu yangu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Toyota kutambulisha gari lilotengenezwa kwa mbao na teknolojia ya kiutamaduni ya nchini Japan isiyohusisha utumiaji wa misumari wala nati katika kuzishikilia mbao hizo. Sersuna – Gari la mbao...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Siku zote hua naamin kwa kiasi flan zamani kabla ya utawala africa na mabara mengine tulikuwa hatujapishana sana kwenye masuala ya teknolojia ila tu tulianza kupishana pale tu ambapo ukoloni...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari wakuu nna sim tajwa hapo juu inauzwa bei maelewano
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Msaada jamani kama umesahau password au pattern ulizo weka kwenye simu yako ni njia ipi nitaondoa bila ya kwenda kuflash?
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Wakuu salam Naomba mwenye ujuzi na utalaam was kufunga/kuzuia sms husasani za Huduma kwa wateja kujirudiarudia hata zaidi ya mara 100 kwenye simu yangu ya smartphone anisaidie. Maana nimeshaenda...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
habari za asubuhi ndugu zangu na shida na simu yangu toka jana nikiweka line ya tigo inaandika emergency calls only, nikiweka line nyingine inafanya kazi, na pia nkiweka line yangu kwenye simu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Msaada, watsap copied msgs zinaenda wapi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimeshindwa kuunganisha wifi hotspot natumia tecno y6,simu zingine zinakubali ila kwangu inagoma sijajua ni kwa nini mwenye ujuzi anijulishe waungwana
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wadau nataman kufahamu software ya kutengenezea kalenda
0 Reactions
1 Replies
528 Views
mazee kila nikiapply google adsense baada ya masaa matatu dashboad yao inawaka ila sirudishiwi mesegi then nikiadd code matangazo hayawaki hata usubiri wiki,,,,km kuna mtu amekutana na tatizo ili...
0 Reactions
1 Replies
966 Views
Habari JF, Tumekuwa tukipokea baadhi ya maswali kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii kuhusiana na matatizo madogo madogo kutoka kwa wateja wetu. Hivi karibuni tumezindua simu mbili kali...
4 Reactions
146 Replies
73K Views
nina simu ya tecno n3. line 1 ina lazimisha kuweka tigo, nimejaribu apps za ku access mtk but nmekuta option ya sim me lock iko disabled. kila niki google kuhusu ku unlock nnaona suggestion ya...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
Wanajamii naomba kwa yeyote mwenye kufahamu application nzuri ambayo itaniwezesha kudownload nyimbo za kibongo hasa zilipendwa. please tafadhali
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Habari wadau Kwa kipindi kirefu sasa (miaka kadhaa) tokea nilipojiunga na mtandao wa Facebook tatizo nimesahau exactly year niliojiunga kwa mara ya kwanza. Naomba msaada kujua ni Lini hasa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu Pc yangu ina matatizo kadhaa kama kutofungua apps ambazo zilikuja na Pc inasema apps can't open using the built-in adminstration niliwah badili akaunti kwenye machine sasa kuirudisha...
0 Reactions
7 Replies
788 Views
Niaje wadau wa humu mjengoni!! Natafuta battery kwa ajili ya Laptop yangu aina ya acer aspire E1-510. Hivyo baasi naomba mnisaidie kufahamu kuwa wapi zinauzwa na nitazipata vipi? Duka gani pamoja...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
There isn't much that a shade tree mechanic can do to repair an automatic transmission but there are some simple things you can do to extend the time before problems arise. The automatic...
1 Reactions
1 Replies
813 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…