Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nina ka tecno h5 kangu nakatumia kusikiliza mziki mana kanakaa na chaji,ila tatizo mziki hauishi kanajizima jamani,shida ni nini??? Nishascan sd card lakin tatizo bado lipo[emoji30].... cc...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Wanajamvi habar ya leo! Naomben msaada wa namna ya kufunga/kuondoa account yangu ya Facebook ikiwa nimesahau password yake, nasiitumii ila NAONA inatumika na mtu anapost PC zake kama vile yake ila...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Kama heading hapojuu naomba kufahamishwa jinsi ya kutengeza email address ya mfano wa 124ali@muuzamchicha.co.tz /124ali@muuzaduka.com Natanguliza shukrani.
1 Reactions
29 Replies
27K Views
Naombeni msaada kwa yeyote mwenye ujuzi wa ku configure hotspot kwenye PC ili device zingine zenye kutumia internet ziweze kuwa shared.... last time nilijaribu kwa kutumia command ikawa inakataa...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Naomba msaada mwenye hii DDI utility software na keys zake wakuu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jamvi kwenye muelekeo wa jinsi dunia inavyokwenda sasa jambo kubwa linalotegemea kubadilisha dunia ( the next big thing) katika ulimwengu wa tehama ni swala linaloitwa internet of things kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tafadhali, natanguliza shukran za dhati, mwenye nayo kifaa, tajwa hapo juu, nimepata majanga kwa kwel nimekanyaga mwenyewe kwa hyo nikiwasha inaonesha mawino nimekosa aman kabisa. Karibu mwenye...
0 Reactions
3 Replies
570 Views
Nawezaje kuifunga simu iliyoibiwa ikiwa siku install app yoyote ya kuniruhusu kufanya hivyo lakini nikiwa na IMEI yake. NB. siwezi kwenda polisi kwani risiti ilipotea. Asanteni.
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Wakuuu nambeni nijuzwe namna gani naweza kucreate bios ili niweze kuenjoy PS 2 games katika pc yangu Nakwama kwenye hiyo stage ya kucreate bios so nilikuwa naomba kwa mwenye ujuzi juu ya hili...
0 Reactions
3 Replies
982 Views
Habari za majukumu wana Jf ,nina laptop ambayo ina sehemu ya kuweka lain ya simu nimejaribu kuweka lakin sijaona iki fanya kazi. Naomba kujua kama inaweza kufanya kazi.
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Heri wakuu. Nina shida na simu yangu LG curverd imepasuka kioo. Amjuwae fundi mzuri kwa Dar aniambie tafadhari.
0 Reactions
0 Replies
511 Views
wazee ebu gonga hapa kisha tafuta jina la bara,kisha nchi kilipo kituo utakjacho,utapata s.rate,nk ambazo utaingiza kwenye receiver yako na kupata access byabato
1 Reactions
51 Replies
18K Views
Habari wanajamvi Niliacha laptop yangu nyumbani sasa mtoto amechezea sasa screen imegeuka chini juu! yaani inavyodisplay picha zake zote ndio iko hivyo.Namimi bado sio mzoefu sana Ata sielewi...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nimejaribu kufanya setting up ya akaunti ya facebook kwa IPad 3 nimechemka, yaaani hatua ya mwisho kabisa inagoma ku install
0 Reactions
0 Replies
512 Views
Waungwana nadhani muko wazima Naombeni munisaidie nataka kuandika Business Plan ila itakua ni non Profit lengo langu ni kutoa elimu juuu ya H.I.V and AIDS na Kuelimisha vijana wadogo kushuhulikia...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Habari Zenu Kama kichwa cha habari kilivyo nimejitahidi ila nimechemka Kinachonishangaza ni Kwamba Line Zinge Zina Support 3g Lakini TIGO hai support 3g ina andika E.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kampuni ya Nokia kutoka nchini Finland imesema kuwa inaishtaki kampuni ya Apple kwa kukiuka haki 32 za kiteknolojia. Kesi hiyo ya Nokia imewasilishwa katika mahakama tatu nchini Ujerumani na...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Natumia tecno W4, nkijaribu kukonnect na pc kwa usb haisomi, au hata nikitaka kuconnect na deki ya dvd haisomi, inanipa options tatu zote hola. Msaada wakuu nifanyeje? simu ni android 6 marshmallow.
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanajamii!! Ninaomba kwa anayejua anisaidie, ninataka kununua laptop nzuri na mpya kabisa. Bahati mbaya mimi si mtaalamu kabisa wa kompyuta (laptop) ingawa ninajua kutumia kifaa hicho. Ninaomba...
0 Reactions
53 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…