Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
wazee ebu gonga hapa kisha tafuta jina la bara,kisha nchi kilipo kituo utakjacho,utapata s.rate,nk ambazo utaingiza kwenye receiver yako na kupata access
byabato
byabato
wazee ebu gonga hapa kisha tafuta jina la bara,kisha nchi kilipo kituo utakjacho,utapata s.rate,nk ambazo utaingiza kwenye receiver yako na kupata access
byabato
mhhh unafikiri ni rahisi hivyo.
ebu toa mfano wewe umepata acess ya chanell gani kutumia satelite ipi kwa kutumia maelezo yaliyo kwenye page uliyotoa.
Nijuavyo mimi kila kila sateli na channel zina kitu kama code/key. Kwa hiyo hata kama unadecoder DSTV bado utahitaki kuwa na key au algorith maalum ili uate channel zote za DSTV
So its not as simple as u think. Unless onaongealea kupata Free channel amabzo hazina key au haziko coded.
- Ukilipia Kadi yako inawekewa key hizo za kukuwezesha kuona hizo channel
- Kama hutaki kulipia inabidi utafute software za ku scramble .
Mkuu sijajaribu hii anayosema jamaa lakini kuna kipindi kuna watu walikuwa UK walikuwa wanaweka Codes kwenye TV Boxes zao na wanaangalia channels zote za duniani bure... Its not hard kupata hizo codes na kuna website zinazo hizo codes ila kila mwezi huwa wanabadilisha codes kwahiyo inabidi ufungue tena... Though I dont know mtu ambaye ametumia hapa Tanzania lakini I see why not... Ukitaka naweza nikakutafutia hiyo website lakini am not sure kama itafanya kazi bongo...
mhhh unafikiri ni rahisi hivyo.
ebu toa mfano wewe umepata acess ya chanell gani kutumia satelite ipi kwa kutumia maelezo yaliyo kwenye page uliyotoa.
Nijuavyo mimi kila kila sateli na channel zina kitu kama code/key. Kwa hiyo hata kama unadecoder DSTV bado utahitaki kuwa na key au algorith maalum ili uate channel zote za DSTV
So its not as simple as u think. Unless onaongealea kupata Free channel amabzo hazina key au haziko coded.
- Ukilipia Kadi yako inawekewa key hizo za kukuwezesha kuona hizo channel
- Kama hutaki kulipia inabidi utafute software za ku scramble .
Kwanza gonga hiyo link ,kisha ndo utoe hoja
hapa mimi naongelea channel zinazopatikana kwenye satellite kwa kila nchi dunia nzima.
Kwa mfano wewe unaongelea channel ipi uiliyokosa na ipo nchi gani nikutafutie kwa kutumia link hiyo
kuna ambazo hazipo kweli lakini inategemea unataka ipi
kwa mfano Nchini afrika kusini nilitaka kupata supersport 1-3 nimekosa bali kuna supersport 9 tu
mhhh unafikiri ni rahisi hivyo.
ebu toa mfano wewe umepata acess ya chanell gani kutumia satelite ipi kwa kutumia maelezo yaliyo kwenye page uliyotoa.
Nijuavyo mimi kila kila sateli na channel zina kitu kama code/key. Kwa hiyo hata kama unadecoder DSTV bado utahitaki kuwa na key au algorith maalum ili uate channel zote za DSTV
So its not as simple as u think. Unless onaongealea kupata Free channel amabzo hazina key au haziko coded.
- Ukilipia Kadi yako inawekewa key hizo za kukuwezesha kuona hizo channel
- Kama hutaki kulipia inabidi utafute software za ku scramble .
Kwanza gonga hiyo link ,kisha ndo utoe hoja
hapa mimi naongelea channel zinazopatikana kwenye satellite kwa kila nchi dunia nzima.
Kwa mfano wewe unaongelea channel ipi uiliyokosa na ipo nchi gani nikutafutie kwa kutumia link hiyo
kuna ambazo hazipo kweli lakini inategemea unataka ipi
kwa mfano Nchini afrika kusini nilitaka kupata supersport 1-3 nimekosa bali kuna supersport 9 tu
wazee ebu gonga hapa kisha tafuta jina la bara,kisha nchi kilipo kituo utakjacho,utapata s.rate,nk ambazo utaingiza kwenye receiver yako na kupata access
byabato
Me hapa nilipo natumia box linaitwa maxx 1000 pamoja na dish lake lina engine ambayo inazungusha dish sio lile dish la kukaa sehemu moja tu....na before nilikuwa natumia normal boxes ambazo zilikuwa zinakata kata sana na kuhitaji niingine online na kutafuta code nikaona hii mizinguo tu ila sasa hivi natumia hili la maxx 1000 ninalo kwa mwaka wa pili sasa....ila lenyewe linatumia internet so codes zikitoka tu siendi online bali zina ji update zenyewe automatically.... Bora zaidi kutumia internet baada ya kuweka code kila siku maana hili langu napata mpaka zile channel za aljazeera sport 1-10 ila nasikia wengine wanalipia napata pia pamoja na sky sport za bure kabisa napata mipira ya champion league pamoja na premier league kama wanaonyesha hata mipira 5 basi yote nitaangalia na nitachagua nini nataka kuangalia...so sijui kwa bongo kama itakubali..... inaonyeshwa premier
Hapo umeeleza mambo ambayo ndiyo nilitaka watu wafahamu. Sio kila dish linaweza kupata channel zote duniani.
- Kwanza sababu dish lako linazunguka ndio maana linaweza kupokea signal za za satelite yeyote ile . Kwa madish yaliyo static hayawezi kupoekea signa za sateliye yeyote.
- Pili hata dish lako linazokunguka bado linahitaji kuwa na code kupata zile channel zote. Sasa kwako wewe box liko connected na internet na linawasiliana na sever fulani inayoupadate code kadiri jamaa wanavyobadilisha . So bilahivi kila siku chache ungekuwa na kazi ya kutafuta hizo code manually
Ndio maana nilisema sio rahisi kama alivyosema. Kwa tanzania hata baadhi ya watu ulaya ambapo madish mengi yako static na ma box mengi hayako connected na internet inabidi mtu mtu ajue wapi pa kuwa anapata code kila baada ya siku chache.
kwa hiyo watu wakishidwa wasidhani maelezo ya jamaa ni ya uwongo bali wajue scrambling code zinabadilika badilika. Na ndio maana nilisema sio rahisi hivyo.
Ndugu mimi nina decoder ya My TV, nimejaribu kuingiza ninazotaka nimechemka. naona mauzauza tu. Sioni pa kuingiza ile setellite no. na zile eg 64.7 E nk. tafadhali nisaidie hatua zake.
Tatizo letu sisi wabongo ni kutka kushusha material tunayopata/tuliyowahi kupata darasani/vyuoni kuhusu mambo fulani...........................
Mkuu hapa tunaelimishana na tunaweza kuelimishanana hata kwa kubishana
Ebu nielekeze nipate hiyo supper sport 9 kama uliyopata wewe . natumia decoder ya DSTV