Tecno H5 kujizima ikiwa inaplay muziki

Tecno H5 kujizima ikiwa inaplay muziki

am a girl

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2016
Posts
748
Reaction score
506
Nina ka tecno h5 kangu nakatumia kusikiliza mziki mana kanakaa na chaji,ila tatizo mziki hauishi kanajizima jamani,shida ni nini???

Nishascan sd card lakin tatizo bado lipo[emoji30]....

cc Chief-Mkwawa.

Halafu pia nakauza mwenye anaitaka pm me
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] chief na wengine kujeni huku, leo tunataka mtutatulie kwere iliyo katika tecno h5.

Haimalizi wimbo, sijui ni uvivu au inaumwa koo.[emoji125] [emoji125]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] chief na wengine kujeni huku, leo tunataka mtutatulie kwere iliyo katika tecno h5.

Haimalizi wimbo, sijui ni uvivu au inaumwa koo.[emoji125] [emoji125]
😀😀😀😀😀😀inaumwa koo eti
 
Nina ka tecno h5 kangu nakatumia kusikiliza mziki mana kanakaa na chaji,ila tatizo mziki hauishi kanajizima jamani,shida ni nini???

Nishascan sd card lakin tatizo bado lipo[emoji30]....

cc Chief-Mkwawa.

Halafu pia nakauza mwenye anaitaka pm me
unataka kuikimbia baki nayo yakwako hiyo
 
Nenda Setting tafuta neno backup and reset kisha bonyeza itakuletea neno reset phone click hapohapo kisha simu itajizima na kujiwasha japo kwa mara ya kwanza itachukua muda mrefu kidogo kuwaka
ILA TATZO LITATATULIKA
 
ichemshe jikon, ukiitoa tatizo kwisha.






tumewachoka na tecno zenu.
 
Angalia kama ipo gsmarena.com
Kama aipo ujue ubora wake ni mdogo
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] chief na wengine kujeni huku, leo tunataka mtutatulie kwere iliyo katika tecno h5.

Haimalizi wimbo, sijui ni uvivu au inaumwa koo.[emoji125] [emoji125]
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom