Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Niaje wana JF...msaada jamani ni program gani nzur ambayo inaweza ikakusaidia kuitafuta adroid iliyopotea. .. Kama maelezo hayajajitosheleza ni ruksa kusema.
1 Reactions
1 Replies
777 Views
Msaada Wanajamvi naombeni msaada, nimesahau password ya laptop yangu ya dell ina windows 8.0. naombeni kupata msaada wa kuifungua, sina account ya microsoft. Thank you in advance!!
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Nimedownload nyimbo ninazozipenda kutoka youtube zingine zikiwa kwenye format ya MP4 na nyingine zikiwa kwenye format ya MKV.Nimeziweka kwenye flash na zinaplay vizuri kwenye laptop yangu.Tatizo...
0 Reactions
4 Replies
677 Views
Nimejaribu njia zote ninazozifahamu imeshindikana. Naomba mwenye utaalam wa Ku'root Huawei mate 8 anisaidie. Natanguliza shukrani!!
0 Reactions
2 Replies
714 Views
habarin wakuu kama ilivo ada watu wa hili jukwaa LA sayansi huwa tunatoa facts na possibilities katika mambo ya sayansi... sasaa kutokana na hiyo heading napenda kujua ni kwa namna gani google...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Sio smartphone Ni hizi Za kawaida na haina uwezo wa internet Nitawezaje kuifanyia factory reset? Bango
1 Reactions
37 Replies
11K Views
Wenye link ya hio software ya adobe premiere pro ambayo hiko cracked anisaidie, Mambo ayaendi, maji yamenifika ..... Msaada tafadhari nahitaji kuipakua
0 Reactions
8 Replies
974 Views
Habari wakuu, nimeamua kujifunza umeme kidogo kuongeza ujuzi katika tasnia yetu ya teknolojia. Ningependa kujua kwa wazoefu vifaa hivi vya Circuit ndogondogo za kujifunzia naweza kuvipata wapi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Unakumbuka lile sakata la mmoja wa wagombea kiti cha Urais nchini Marekani kukumbwa na kashfa ya kutumia anwani ya barua pepe binafsi kufanya shughuli za Serikali? Au umeshawahi kuona barua pepe...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari za leo wanaJF..? Naomba msaada wa kitaalamu juu ya simu tajwa hapo juu.. Hii simu nimeitumia tangu 2014 May lakini siku chache zilizopita ilianza kuleta maandishi juu ya kioo ambayo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nahitaji set up ya Windows 10 professional na 7 professional.... kama kuna mwenye nazo au analink ya zinakopatikana naomba anichek PM
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Habari wakuu, heri ya mwaka mpya. Nmelog in google drive kwene different devices, na nikifanya any changes i.e deletion, ku move, ku edit notification inakuja kwenye kila device kuwa "You done...
0 Reactions
0 Replies
531 Views
Msaada kwenu wadau, Nisaidieni jinsi ya kudownload free game la fifa, nimejaribu kudownload limegoma kufunguka wanataka hela.
0 Reactions
4 Replies
12K Views
Salaam wandugu, Nilikuwa nina type text, ghafla ika display blue screen kwenye kioo na kuzima. nikajaribu kuwasha inawaka kwenye ile logo ya lg then blue screen inatokea na kujizima. nikatoa betri...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Samahan wana jf ni coz gan ni nzuri ya computer unayoweza kukupa kazi au kukusaidia kwa maisha ya sasa wakati nasubili matokeo ya form four ya kwenda advance na inaweza chukua mda gan Natanguliza...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa wale wataalam wa kutafuta TORRENTS plz naomba mnisaidie niweze kupata Movies za SIDNEY SHELDON maana nyingi nazopata kwa sasa zina seed zero. so hazi download. ikiwa kuna sehemu ntazipata...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaji kutengeneza business card zilizodizainiwa kwa kiwango. Kama unaamini wewe umebobea kwenye kazi hii naomba shusha sample yako hapa na quotation zako ili nikupe kandarasi. Nb: kwa wale...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Msaada kwa mtu anaeweza ku_unlock IMEI za simu ili iweze kusoma line zote, line #1 inasoma tigo tuu nkiweka chip nyingne inadai password, ni huawei. Msaada pliz kwa yeyote awezae
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wana-Jf? naomba msaada wa kufahamishwa juu ya picha hii kuwa ime_dizainiwa kwa tool Ipi (kama inaweza kuwa katika PC)? au application Ipi (katika smartphone)?
0 Reactions
1 Replies
742 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…