Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Niaje wananzengo? Direct to the point. Kwa wale waumini wa apps ambazo zinahitajika kufanya manunuzi ili upate baadhi ya huduma, karibuni sana hapa. Utapakua apps unazozitaka na hata games...
4 Reactions
82 Replies
8K Views
Habari za jioni,Nina kama shilingi za kitanzania 350,000/= je ni simu gani nzuri ya Android ambayo naweza kupata kwa pesa hii ama chini ya hapo. Niliwahi kuandika thread kama hii kuhusu simu za...
2 Reactions
655 Replies
132K Views
Anaandika bwana Kenge, Hivi karibuni kumekuwa na picha nyingi zilizotengenezwa kwa AI(Artificial Intelligence).Licha ya kwamba Technolojia hii sio ngeni sana lakini imezidi kukua kwa kasi na...
44 Reactions
188 Replies
13K Views
Habari WanaJF, Nimeandaa hii tutorial kuwasaidia watu wenye ofisi ndogo ndogo na watu binafsi ambao wanataka kuwa na website kwa ajili ya biashara zao au matumizi binafsi lakini kutokana na...
44 Reactions
114 Replies
57K Views
Habari wadau, Matangazo kwangu mimi yamekuwa kero kubwa sana. Yaani huwezi fanya jambo bila kukutana na adds, apps ambazo haina adds ni Whatsapp, Insta na X. Zingine kufungua kabla hujafanya...
2 Reactions
7 Replies
368 Views
Kwa wale wapenzi wa game za mpira kwenye pc karibuni tujumuikeni hapa hasa kwa wale wa pc na hata console pia sio mbaya. Lengo ni kupeana mambo kama yafuatayo-: Latest patch (update...
20 Reactions
1K Replies
132K Views
Kitabu kinaitwa THE LOST BOOK OF HERBAL REMEDIES ( by Claude Davis and Dr. Nicole Apelian) Dah nakihitaji Sana. Wataalam wa ku cheza na kuchekecha mambo hamuwezi mkanisaidia aisee ni fanye free...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Siku za hivi karibuni imetokea ajali ya treni mkoani Morogoro, ajali hii imehusisha basi dogo aina ya coaster linalofanya safar zake Kihonda - Mjini na treni la abiria linalofanya safari za Dar -...
7 Reactions
101 Replies
22K Views
Habari za mda huu wakuu... Nimeona niulize swali hili pia kwa manufaa ya wengine wanaopenda kusoma kozi za programming kama (Cyber security) .Je, computer ya mtu Huyu inatakiwa iwe na sifa zipi...
2 Reactions
13 Replies
351 Views
Mwenye swala lolote katika maswali ya AI ili tuweze kushare knowledge
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Wanasema kizuri kula na nduguyo. Nimehamia mtaa fulani hivi wa raia wamejifungia kwenye mageti yao. Sasa huku fibre hakuna ila raia wamefunga superkasi. Katika kuhangaika nikapata tool moja...
10 Reactions
102 Replies
7K Views
Nilianza kuagiza mizigo midogomidogo (small parcel ) miaka mitatu iliyopita na sijawahi kulipa kodi zaidi ya ile tsh 2350 ila mwaka huu nikapata shauku ya kuagiza mzigo kwa ajili ya biashara...
15 Reactions
91 Replies
8K Views
Posta inakwama wapi?? Katika pita yangu mtandaoni mwezi wa 3 mwishoni nikadownload App ya posta ukweli huduma za posta nazihitaji na hapo awali nilikuwa nikitumia sanduku la rafiki yangu katika...
1 Reactions
2 Replies
168 Views
Kwa Kiswahili Prof Bibling amekuwa na tabia/taratibu/tija na amekusanya mbinu zilizothibitishwa za mazoea ya kujenga na kuongeza tija katika kubadilisha tabia. Mbinu hizi zimetoka kwenye vitabu...
0 Reactions
2 Replies
186 Views
Hii router inahitajika. Mwenye nayo ajitokeze.
1 Reactions
4 Replies
181 Views
Kwa sasa, vifaa vingi ambavyo vinatumia port ya USB Type C ambazo ni latest, zinatumia aina ya USB Type-C 3.2 ambayo ina Max speed ya 20GB kwa sekunde. Teknolojia inazidi kubadilika na dunia...
2 Reactions
5 Replies
659 Views
Habari za mida, Naomba kusaidiwa router gani ni nzuri kwa matumizi ya taasisi ambayo inakuwa na watumiaji 500 kwa mara Moja wakiwa connected kwa wired na wireless? Na kipi natakiwa kukiangalia...
3 Reactions
18 Replies
701 Views
Mambo vipi bloggers Kwa miaka kadhaa nimekuwa na blogs ninazoziandikia kimombo, sasa najikuta natamani kumiliki blog ya kiswahili. Lengo langu nipate visitors 2M kwa mwezi kupitia SEO mana bongo...
2 Reactions
14 Replies
970 Views
Wakuu nilipata wazo la kutafuta Cv za watu maarufu duniani na kutengeneza blog ili baadae nije niiunganishe na adsense . Blog yenyewe ni hii hapa www.worldfamousresumes.blogspot.com nimetafuta...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Habari zenyuu,, Hivi karibuni nimekuwa nikiexperience kufutika kwa Namba za Simu nilizokuwa nimesave kwa Truecaller, kila ukisave upya badae hukuti jina ukibahatika unakuta namba tupu kwenye chati...
0 Reactions
3 Replies
199 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…