Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

1. Research ChatGPT YouChat Perplexity Copilot Gemini 2. Image Leap AI Copilot Segmind Midjourney Stable Diffusion 3. CopyWriting Rytr Copy AI Writesonic Adcreative AI 4. Writing Jasper HIX...
8 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za muda wakuu. Natambua uwepo wa wataalam katika eneo hili. Nataka niuze kitabu changu kwa njia ya softcopy. Naombeni kujua namna sahihi na site salama kwa ajili ya mauzo hayo ya online
0 Reactions
2 Replies
100 Views
wakuu naombeni msaada wa jinsi ya ku unlock ii ata kwakulipia online.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna Uzi nilifungua kuhusu scam aliyotufanyia Mo Dewji, Kwa kujifanya account yake ilikuwa hacked, na wengi tulifahamu baada ya Kanye west kutufumbua macho. McAfee aliwahi kusema alikuwa na uwezo...
34 Reactions
1K Replies
47K Views
NAS STORAGE SERVER Hebu wazia NAS(Network Attached Storage) kama "Hard Disk" kubwa, yenye akili, na nguvu nyingi inayokaa nyumbani au ofisini kwako, lakini badala ya kuichomeka kwenye kompyuta...
5 Reactions
13 Replies
517 Views
Jamani Nikiingia aidha kwenye mtandao hasa email, app, system yoyote inahitaji password yangu napata ujumbe huu Your token has expired Awali nilifanya yafuatayo kuondoa 1. Nikiingia kwenye dot...
4 Reactions
5 Replies
200 Views
Nimekuwa nikitumia superkasi kwa muda na nilijaribu ile ya airtel japo performance zilikuwa poa ila nilikuwa nikipata shida ya latency kuwa kubwa maana mainly shughuli zangu zina involve calls za...
25 Reactions
120 Replies
8K Views
Binadamu amefikia hatua ya kushangaza katika kutumia sayansi na teknolojia kuunda bidhaa mahiri zinazorahisisha maisha, kuokoa muda na kupanua uwezo wa asili wa mwanadamu. Kile kilichokuwa ndoto...
3 Reactions
5 Replies
262 Views
Kwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers...
61 Reactions
1K Replies
100K Views
Uchambuzi wa kina kuhusu utofauti wa IT, Computer science, Computer Engineering, Software engineering na Cyber security. Post hii nimewandalia hususan wanafunzi waliomaliza sekondari wakitarajia...
49 Reactions
137 Replies
37K Views
Habari za kazi wakuu, Makampuni mengi sasa hivi yanategemea vifaa vya kidijitali kama simu (smartphones) na tablets kuendesha shughuli zao za kila siku—iwe ni timu za mauzo (sales team)...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Pc yangu ni hp ryzen taa ya pc nikiweka chaji inawaka na kuzima rangi nyekundu, nikajaribu kutoa betri inaendelea vile vile ila safari hii ni taa nyeupe,,nimejaribu kuwasha lakini...
1 Reactions
2 Replies
111 Views
Wakuu Naomba msaada kwa mwenye program ya SignMaster CUT iliyo full activated
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Habarini. Msaada natumia Docomo F-52A ya mtumba haisomi mtandao.
2 Reactions
3 Replies
130 Views
Ndugu wadau Nimeipata changamoto baada ya account yangu ya Whatsapp kuwa banned. Ni takribani week 1 sasa. Nimekuwa nikipenda hizi unofficial apps kama Gb Whatsapp, ila walinionya ya kuwa huwa...
2 Reactions
21 Replies
363 Views
Nalileta kwenu wataalam, Hivi kuna kampuni gani nzuri inayotoa huduma ya hosting hapa bongo, mana nataka kuhama kwa mtoa huduma wa sasa aliyeko nje, kwakuwa nilipata tabu wakati wa kurenew malipo...
2 Reactions
4 Replies
175 Views
Watanzania wengi tunadhani Pasi au Jiko la umeme ndivyo vinamaliza LUKU. Lakini ukweli ni huu: 👇 Pasi unatumia dakika 15, jiko unatumia saa 1, lakini Friji linatumia saa 24 kila siku. Kama friji...
3 Reactions
1 Replies
381 Views
Sahau kabisa muundo wa Zamani (Menu ya Zamani), toleo jipya la FC 27 The Grounds ndiyo moja ya mabadiliko makubwa yanayotarajiwa kuja kwenye EA Sports FC 27. Badala ya kuchagua mechi kupitia...
0 Reactions
4 Replies
225 Views
Habari ndugu. Kama kichwa kinavojieleza hapo juu ipi ni kozi nzuri kati ya Computer science na software engineering
1 Reactions
4 Replies
209 Views
Kwa budget hiyo nitapata simu ya aina Gani nzuri yenye camera ang'avu quality, betri yake itakayokaa na chaji muda mrefu, na storage yake capacity nzuri
7 Reactions
35 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…