Si Kila taarifa ya kwenye AI unaibeba kama ilivyo.

Si Kila taarifa ya kwenye AI unaibeba kama ilivyo.

Hassan Mambosasa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2014
Posts
3,850
Reaction score
5,490
where-is-ai-used-1024x683-1.jpg


Habari yenu wanajukwaa, natumai mpo vyema kiafya na mnaendelea vyema na maisha kiujumla. Nami Mungu anasaidia kiasi chake kwenye masuala yangu.

Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja, inayogusa matumizi ya AI kwenye maisha yetu ya kila siku. Kiasi kwamba imekuwa ni msaada mkubwa kwenye nyanja mbalimbali.

Wakuu AI inafanya kazi kwa kukupatia wewe na mimi taarifa zilizopo mtandaoni, kupitia sehemu mbalimbali. Ikiwa taarifa ya swali unalouliza haipo kwenye mfumo wowote haitaweza kukupa jibu stahiki. Mara zingime hujibu "najifunza zaidi".

Ikitokea aliyejaza taarifa mtandaoni hakuweka taarifa sahihi, basi na wewe ukija kuuliza kuhusu suala lile basi utapewa taarifa ambayo si sahihi, kwa sababu ndiyo iliyopo.

AI zingine hazina taarifa kwa upana huweza kutoa majibu yasiyo sahihi. Mfano Meta AI ina changamoto hii kuboronga kwenye utoaji taarifa. Sababu ina uhaba wa data wa suala unalopeleka.

Nakiri AI imetusaidia sana kwenye designs, image generation na mengineyo. Ila wadau unapochukua taarifa huko kwa lengo la kuitumia sehemu rasmi, nakusihi hakiki vyema.

AI yetu pendwa inatupa chakula kizuri, penginepo kuna mdau huko mtandaoni kaweka sumu ikakuletea kama ilivyo. Naomba tuwe makini sana na taarifa zao.

Uzuri ni program pia inayokusanya taarifa juu ya mambo mengine mapya yanayoingia mtandaoni lwa namna tofauti ila bado uhakika wa taarifa muda mwingine una shaka.

Ni hayo tu wakuu.​
 
Hivi unaelewa hizo AI au ufahamu.

Sio kila AI inaweza kufanya jambo ndio maana zinaelezwa kila kitu.

Ndio maana unashauriwa kuja kila aina za AI na kazi yake.

uwezi kuuliza history kwenye Ai mfano claude wakati imebezi na programming
 
View attachment 3638085

Habari yenu wanajukwaa, natumai mpo vyema kiafya na mnaendelea vyema na maisha kiujumla. Nami Mungu anasaidia kiasi chake kwenye masuala yangu.

Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja, inayogusa matumizi ya AI kwenye maisha yetu ya kila siku. Kiasi kwamba imekuwa ni msaada mkubwa kwenye nyanja mbalimbali.

Wakuu AI inafanya kazi kwa kukupatia wewe na mimi taarifa zilizopo mtandaoni, kupitia sehemu mbalimbali. Ikiwa taarifa ya swali unalouliza haipo kwenye mfumo wowote haitaweza kukupa jibu stahiki. Mara zingime hujibu "najifunza zaidi".

Ikitokea aliyejaza taarifa mtandaoni hakuweka taarifa sahihi, basi na wewe ukija kuuliza kuhusu suala lile basi utapewa taarifa ambayo si sahihi, kwa sababu ndiyo iliyopo.

AI zingine hazina taarifa kwa upana huweza kutoa majibu yasiyo sahihi. Mfano Meta AI ina changamoto hii kuboronga kwenye utoaji taarifa. Sababu ina uhaba wa data wa suala unalopeleka.

Nakiri AI imetusaidia sana kwenye designs, image generation na mengineyo. Ila wadau unapochukua taarifa huko kwa lengo la kuitumia sehemu rasmi, nakusihi hakiki vyema.

AI yetu pendwa inatupa chakula kizuri, penginepo kuna mdau huko mtandaoni kaweka sumu ikakuletea kama ilivyo. Naomba tuwe makini sana na taarifa zao.

Uzuri ni program pia inayokusanya taarifa juu ya mambo mengine mapya yanayoingia mtandaoni lwa namna tofauti ila bado uhakika wa taarifa muda mwingine una shaka.

Ni hayo tu wakuu.​
Nimelichukua naishi nalo hili kwa umakini wa baadae
 
Hivi unaelewa hizo AI au ufahamu.

Sio kila AI inaweza kufanya jambo ndio maana zinaelezwa kila kitu.

Ndio maana unashauriwa kuja kila aina za AI na kazi yake.

uwezi kuuliza history kwenye Ai mfano claude wakati imebezi na programming
Bado haziwezi kuwa na data kamili ya kila jambo, hakiki upate uhakika. Au huwa huoni zingine huonya kabisa inaweza kufanya kwenye maelekexo yao
 
Bado haziwezi kuwa na data kamili ya kila jambo, hakiki upate uhakika. Au huwa huoni zingine huonya kabisa inaweza kufanya kwenye maelekexo yao
Unabishana na wataalamu au unabishana na wao walio anzisha
 
Ai ina majibu yote kwa usahihi ila kazi unayo wewe mtumiaji unatakiwa kujua AI ipi itanipa majibu na msaada mf ukienda kwenye ulinz,afya,ubunifu,music,huandis nk kuna AI zao zimebobea kutokana na kazi pia zipo angalau zenye kujua mambo tofat kwenye kila idara (kama binadamu tu kuna watu wamebobea kwenye jambo moja na wengine wanafahamu vitu vingi)
 
Ai ina majibu yote kwa usahihi ila kazi unayo wewe mtumiaji unatakiwa kujua AI ipi itanipa majibu na msaada mf ukienda kwenye ulinz,afya,ubunifu,music,huandis nk kuna AI zao zimebobea kutokana na kazi pia zipo angalau zenye kujua mambo tofat kwenye kila idara (kama binadamu tu kuna watu wamebobea kwenye jambo moja na wengine wanafahamu vitu vingi)
Hayo majibu inatoa wapi?
 
Kingine nilichogundua ili Ai ikupe majibu mwanana ni lazima na yenyewe muwe MNAELEWANA,kwa maana uulize maswali au uielezee kwa kueleweka,ukikosea kuuliza inakujibu jinsi ulivyokuja,lakini pia ukitaka ikupe majibu mazuri huwa inapenda kukufahamu wewe,kwasbb tukumbuke hizi Ai kila unapojadiliana nayo jambo huchukua nafasi hiyo kukusoma wewe ni nani,ni mtu wa aina gani,unapenda nini na tabia zako ni zipi.
Wengi huwa wanauliza mambo kimkato au hayaeleweki.
Binafsi chagpt naikubali sana
 
Kingine nilichogundua ili Ai ikupe majibu mwanana ni lazima na yenyewe muwe MNAELEWANA,kwa maana uulize maswali au uielezee kwa kueleweka,ukikosea kuuliza inakujibu jinsi ulivyokuja,lakini pia ukitaka ikupe majibu mazuri huwa inapenda kukufahamu wewe,kwasbb tukumbuke hizi Ai kila unapojadiliana nayo jambo huchukua nafasi hiyo kukusoma wewe ni nani,ni mtu wa aina gani,unapenda nini na tabia zako ni zipi.
Wengi huwa wanauliza mambo kimkato au hayaeleweki.
Binafsi chagpt naikubali sana
Unaweza fungua project na kuweka maelekezo yaliyonyooka ayafuare, ajabu akaja kukufanyia kjngine humohumo na kuishia kuomba radhi na bado akarudia tena.

Chatgpt hiyo
 
Nadhani ushauri wako ungejiwekeza kwenye kujadiri njia bora za kutumia AI lakin pia matumizi ya AI mbali mbali

Ujue facebook instagram, tiktok, jamii forum zote ni social media ila zinafanya kaz tofauti kabsa
Sasa unapoongelea AI pia jua zinatofautiana na zina fanya kaz tofauti tofauti so ushauri wako ungeuelekeza kwenye matumizi sahihi ya IA katika jambo sahihi
Asante
 
Back
Top Bottom