MATEGEMEO YANGU 2010
Kwa miaka michache iliyopita kampuni nyingi za habari Tanzania zilianzisha tovuti zao ili habari zao mbalimbali ziwe zinaingizwa katika tovuti hizo watu wasome lakini...
Kwa wale wanaopenda kuwa na operating system mbili kwenye kompyuta moja, unaweza kurun Windows na Ubuntu. Ubuntu ni open source, kwa hiyo hulipi kitu na pia haina matatizo ya virus.
Soma hapa...
ninaomba msaada; kama kompyuta inatumia 'operating systems' mbili mfano Linux na XP, sasa nataka kutoa Linux nibakie natumia XP nifanyeje? nitaitoa vipi hiyo Linux? je, inatakiwa kufomati kila...
Wakuu Wa JF nawaombeni msaada kuhusu keyboard yangu tangu nimeiweka OS Ubuntu Linux keyboard yangu herufi mbili hazifanyi kazi ya kwanza ni (X) nikibonyeza hefuri X inakuja Herufi Ñ na ingine...
When Contact is First Made: 'they might be a scammer if'
They immediately want to get off the website and onto Yahoo IM or MSN IM
Their profile seems to disappear off the website immediately...
Jamani eh, kuna mtu kachomoa flash disk yangu kwenye computer ikiwa bado inablink kuonyesha kuna activity inaendelea. Kila nikijaribu kuifungua inasema "not formatted, do you want to format it...
Jinsi ya kununua Laptop Au computer ni maswali ambayo huwa yanaulizwa sana sehemu mbalimbali haswa kutokana na vifaa hivi kutumika sana kwa maisha ya kila siku na kwa sasa hivi vifaa vimekuwa ni...
Hi ALL,
I am currently doing a research on Mobile internet users in Dar es Salaam (i.e Tanzania) and I am kindly asking you to help me filling my questionnaire below.
It will take you only 5...
Nataka save you tube clips kwa matumizi fulani, ie kufundishia ama kumbu kumbu zingine etc...nimekwama kusave kwanye Hard drive ili niweze play offline, naweza pata msaada?
Shukrani
Masa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.