Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

---------Hii mada ni ndefu ila ni muhimu mno kwani imejibu maswali mengi kuhusu GNS3,nimeandika kutokana na uzoefu wangu wa zaidi ya mwaka mmoja,natumaini watanzania wenzangu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa, nimekuwa niki-log in JF kwa kutumia simu yangu Nokia 6233 lakini kwa wiki 3 sasa siwezi kulog in. Ile link ya kulog in hainipi ruhusa ya kufanya hivyo. Au kuna kitu natakiwa kufanya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tafauti na version 8 mpaka 8.5 ambayo wakati unapotaka kuingiza kwenye computer ni lazima ufunge vitu unavyofanya kwenye computer yako kama unaangalia tovuti Fulani au kama unatumia programu ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni mara nyingi wengi wetu tumekuwa tunapeleka papers kwenye journals au conferences,hawa jamaa huwa na masharti yao mengi haswaa kwenye muundo wa hizo papers,nina maanisha ni jinsi gani inatakiwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za wanajamvi samahanini mimi kila nikionekana ktk jamvi hili siku zote ni msaada.samahanini kwa hilo. Naomba mwenye packet tracer inayosapati mpls ama simulator yoyote anisaidie...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
NI watu wengi wamekuwa na maswali kibao kuhusu IPV6 ambayo moto wake bado haujapamba ingawa hali inaonesha kuwa siku za usoni itakuwa ni mojawapo ya dili,hebu tuangalie mambo mabalimbali ambayo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada/ushauri Nimekuwa nikitumiwa emails na mtu mara kwa mara zikiwa na maneno ya kashfa na vitisho. Address yake xyz@yahoo.com Ninawezaje ku-trace au kupata msaada wa ku-trace...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
wandugu nilikuwa najaribu kusoma hiki kitabu ila nimeshindwa naomba mtu ambaye anaweza kikipanga kisomeke kwa mpangilio naamini nitapata msaada.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari ya Kazi wadau wa JF Napenda kuchukua fruksa hii kiwapa pongezi wale wote waliofanikiwa kuchangia mada zangu za kuomba msaada na nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana hizi ni shukran zangu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kumekuwa na tatizo la wanunuzi wa vitu kwa njia ya mtandao kupelekwa Kwenye tovuti bandia kwa ajili ya kununua bidhaa Fulani Kwenye tovuti hiyo wakati mwingine bila ya wao kujua yaani anapotafuta...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hackers steal, release electronic data from top climate research center By Juliet Eilperin updated 10:34 a.m. ET Nov. 21, 2009 WASHINGTON - Hackers broke into the electronic files of one of the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hey Jf, I have a problem with my computer(Laptop Dell Inspirion 1300) of delaying in showing the desktop Icons after rebooting. I have already scan for Viruse and made system restore also i have...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Laptop yangu LG Ina Ram 1GB, HDD 110 na window Vista pamoja na Ofice 2007. Sasa nimeweka Program nyingi za kuangalia picha kama MPE Cutter, VLN, Real player, NPD Converter, n.k pia ina Ant virus...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, naomba msaada wa kunisaidia kutatua tatizo langu kwenye laptop. Laptop yangu ni Toshiba Satellite, Pent4, Proc 2.3GHz, RAM 512, 120GB HDD. wakati wowote ninapowasha napata message Value...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wana JF napenda kuwajulisha kuwa mimi nimeinstall At virus ya Karsperk je inafaa kwa matumizi kwani nimeona wadau wameiponda Norton kwani mimi nilikuwa naiamini sana norton sasa nimechanganyikiwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nipo nje ya tz,nataka kulog kwenye outlook ya ofisi inagoma na kunipa message hiyo hapo chini na sijakosea ip kwa kuwa jana niliweza...msaada wandugu 500 - Internal server error. There is a...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msaada jamani nashindwa kuangalia video kwenye You tube natumia BB board 9000,nimejaribu mara kadhaa lakini wapi .Msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wasalaam wakuu!! Kalaptop kangu kananizingua ni HP530,Hivi karibuni nilikuwa sikatumii kukafungua nikakuta hard drive zinajaa bila ya kusave chochote nimejaribu kustop system backup (manake...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1) Virus is a little program whos activity can destruct/destroy some files and a computer system. If this program does not open, it's inactive and could not or will not destroy anything. WHAT IS...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1st key 2nd key 3rd key What it does Spacebar Scroll down one browser window. Same as page down. CTRL Spacebar Scroll up one browser window. Same as page up. ALT Left arrow Go...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Back
Top Bottom