---------Hii mada ni ndefu ila ni muhimu mno kwani imejibu maswali mengi kuhusu GNS3,nimeandika kutokana na uzoefu wangu wa zaidi ya mwaka mmoja,natumaini watanzania wenzangu...
Wapendwa, nimekuwa niki-log in JF kwa kutumia simu yangu Nokia 6233 lakini kwa wiki 3 sasa siwezi kulog in. Ile link ya kulog in hainipi ruhusa ya kufanya hivyo. Au kuna kitu natakiwa kufanya...
Tafauti na version 8 mpaka 8.5 ambayo wakati unapotaka kuingiza kwenye computer ni lazima ufunge vitu unavyofanya kwenye computer yako kama unaangalia tovuti Fulani au kama unatumia programu ya...
Ni mara nyingi wengi wetu tumekuwa tunapeleka papers kwenye journals au conferences,hawa jamaa huwa na masharti yao mengi haswaa kwenye muundo wa hizo papers,nina maanisha ni jinsi gani inatakiwa...
Habari za wanajamvi
samahanini mimi kila nikionekana ktk jamvi hili siku zote ni msaada.samahanini kwa hilo.
Naomba mwenye packet tracer inayosapati mpls ama simulator yoyote anisaidie...
NI watu wengi wamekuwa na maswali kibao kuhusu IPV6 ambayo moto wake bado haujapamba ingawa hali inaonesha kuwa siku za usoni itakuwa ni mojawapo ya dili,hebu tuangalie mambo mabalimbali ambayo...
Wakuu naomba msaada/ushauri
Nimekuwa nikitumiwa emails na mtu mara kwa mara zikiwa na maneno ya kashfa na vitisho. Address yake xyz@yahoo.com
Ninawezaje ku-trace au kupata msaada wa ku-trace...
Habari ya Kazi wadau wa JF
Napenda kuchukua fruksa hii kiwapa pongezi wale wote waliofanikiwa kuchangia mada zangu za kuomba msaada na nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana hizi ni shukran zangu...
Kumekuwa na tatizo la wanunuzi wa vitu kwa njia ya mtandao kupelekwa Kwenye tovuti bandia kwa ajili ya kununua bidhaa Fulani Kwenye tovuti hiyo wakati mwingine bila ya wao kujua yaani anapotafuta...
Hackers steal, release electronic data from top climate research center
By Juliet Eilperin
updated 10:34 a.m. ET Nov. 21, 2009
WASHINGTON - Hackers broke into the electronic files of one of the...
Hey Jf,
I have a problem with my computer(Laptop Dell Inspirion 1300) of delaying in showing the desktop Icons after rebooting. I have already scan for Viruse and made system restore also i have...
Laptop yangu LG Ina Ram 1GB, HDD 110 na window Vista pamoja na Ofice 2007. Sasa nimeweka Program nyingi za kuangalia picha kama MPE Cutter, VLN, Real player, NPD Converter, n.k pia ina Ant virus...
Wana JF napenda kuwajulisha kuwa mimi nimeinstall At virus ya Karsperk je inafaa kwa matumizi kwani nimeona wadau wameiponda Norton kwani mimi nilikuwa naiamini sana norton sasa nimechanganyikiwa...
nipo nje ya tz,nataka kulog kwenye outlook ya ofisi inagoma na kunipa message hiyo hapo chini na sijakosea ip kwa kuwa jana niliweza...msaada wandugu
500 - Internal server error.
There is a...
Wasalaam wakuu!!
Kalaptop kangu kananizingua ni HP530,Hivi karibuni nilikuwa sikatumii kukafungua nikakuta hard drive zinajaa bila ya kusave chochote nimejaribu kustop system backup (manake...
1) Virus is a little program whos activity can destruct/destroy
some files and a computer system. If this program does not open, it's
inactive and could not or will not destroy anything.
WHAT IS...
1st key 2nd key 3rd key What it does
Spacebar Scroll down one browser window. Same as page down.
CTRL Spacebar Scroll up one browser window. Same as page up.
ALT Left arrow Go...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.