Hili sio jambo la kulalamika kama vifaa vya ict kodi ni juu kuliko hizo nchi za wenzetu unategemea nini katika utumiaji wa mtandao ? Kama hakuna miundo mbinu ya kutosha na ya maana ambayo itawezesha kupeleka huduma hizi mpaka vijijini unategemea nini ? Na kama serikali haina mpango wa taifa unaoeleweka na kila mtu katika kuendeleza huduma hizi unategemea nini ? Hivi sio vitu technical rafiki yangu ni haki ya mtanzania yoyote kujua ni haki yako wewe uliye kyaka kagera kupata huduma safi na nafuu za mawasiliano
Hili sio jambo la kulalamika kama vifaa vya ict kodi ni juu kuliko hizo nchi za wenzetu unategemea nini katika utumiaji wa mtandao ? Kama hakuna miundo mbinu ya kutosha na ya maana ambayo itawezesha kupeleka huduma hizi mpaka vijijini unategemea nini ? Na kama serikali haina mpango wa taifa unaoeleweka na kila mtu katika kuendeleza huduma hizi unategemea nini ? Hivi sio vitu technical rafiki yangu ni haki ya mtanzania yoyote kujua ni haki yako wewe uliye kyaka kagera kupata huduma safi na nafuu za mawasiliano
Umejaribu kutafuta kama hiyo sera ipo au la kabla hujaandika ulichoandika ?