Mtaalam wa kutengeneza website anatafutwa

Mhafidhina

JF-Expert Member
Feb 6, 2008
549
22
Wanajamii,

Jamani natafuta mtu ambaye ni mtaalam wa kutengenza websites ikiwa ni pamoja na kuhakikisha inafanyiwa domain registration, inaweza kupatikana kwenye google search na pia nitaweza kutegeneza emails kutumia jina la hio website.

Muhimu ni kuweza kutengenza kwa kuweka graphics nzuri na kui-update mara kwa mara website hiyo.

Tafadhali kama una utaalam na uzoefu wa kutengenza website kwa kiwango kizuri naomba UNI-PM then tuwasilaiane ili niweze kukupa kazi hii.
 
Wasiliana na Jamaa mmoja yuko reading UK ... ndio wamiliki wa nifahamishe website anaitwa Ally Lyandama yuko fit ktk masuala hayo...


Regards
 
Back
Top Bottom