afkombo
Member
- Feb 9, 2008
- 93
- 11
Habari wakuu!!
Naomba kuuliza kama kuna mtu aliyewahi kufanikiwa kutumia Blackberry Mobile phone kama Modem.Nimekuwa nikitumia Nokia E71 Kama Modem mara zote nilizokuwa narudi home TZ likizo na haina shida lakini kwa sasa nimejabadili simu kwa muda natumia Blackberry 8310 na nina mpango wa kurudi Bongo Winter vacation itakuwa muda mfupi kama mwezi hivi,so naona kama itakuwa ni gharama sana kununua modem kwa mwezi mmoja then niiache.Nimejaribu kuangalia katika Blackberry forums nimeona baadhi ya watu wameelekeza jinsi ya kuunganisha lakini sijajaribu naona ni process ndefu na mifano iliyotolewa inalenga sana kwa watumiaji walio USA nami nataka nikatumie Bongo.Sasa je kuna mwana JF ambaye alishawahi kufanikiwa kwa hili au nibebe Modem yangu kabisa nitakaporudi home?
Natanguliza shukrani.
Naomba kuuliza kama kuna mtu aliyewahi kufanikiwa kutumia Blackberry Mobile phone kama Modem.Nimekuwa nikitumia Nokia E71 Kama Modem mara zote nilizokuwa narudi home TZ likizo na haina shida lakini kwa sasa nimejabadili simu kwa muda natumia Blackberry 8310 na nina mpango wa kurudi Bongo Winter vacation itakuwa muda mfupi kama mwezi hivi,so naona kama itakuwa ni gharama sana kununua modem kwa mwezi mmoja then niiache.Nimejaribu kuangalia katika Blackberry forums nimeona baadhi ya watu wameelekeza jinsi ya kuunganisha lakini sijajaribu naona ni process ndefu na mifano iliyotolewa inalenga sana kwa watumiaji walio USA nami nataka nikatumie Bongo.Sasa je kuna mwana JF ambaye alishawahi kufanikiwa kwa hili au nibebe Modem yangu kabisa nitakaporudi home?
Natanguliza shukrani.