Wakuu natafuta PDF Editor software chapchap, nimejaribu kuzungukazunguka, naonana na nitroPDF pekee, kama kuna mwenye nayo nyingine naomba msaada, au hata kama kuna mahali humuhumu ndani ipo...
colloge of business education dar es salaam campus wamefunga wireless internet sasa hivi wanamalizia matengenezo madogo madogo kukamilisha hadi sasa teyari substation zimefugwa. Lakini sijui...
Wakuu kwa wale wajuzi wa mambo Haya naomba msaada wenu.Nimekuwa nikitumia HUAWEI EC 189 USB Modem nje ya Tanzania.Nataka nirudi home na nina mpango wa kuendelea kuitumia hiyo Modem nikiwa Home...
Jamani Blackberry Storm 9500 yangu kila nikicharge haingizi charge yoyote inabaki kuwaka kwenye LED red tu,mwanzoni nilifikiri huenda betri imeisha ikabidi ninunue mpya na kuweka nikajaribu...
MADA HII IPO HAPA KUNA NINI NBC
NIMEAMUA NIILETE HAPA KIDOGO ILI TUWEZE KUSHIRIKI PAMOJA
Ndugu zangu nimeona mlichochangia hapo napenda kusema kwamba ni kweli kuna msako wa kutafuta...
CreativeTechs wanafanya kozi za bure Live kupitia mtandao wana kozi za Photoshop, Flash, Android, iPhone na zengine nyingi full list:
http://creativetechs.com/training/
Kuangalia kozi nenda...
Malware could tap into phone's microphone, GPS and even your battery
iStockPhoto
A rootkit is different and more difficult to detect than other malicious software like viruses.
Malicious...
Wakuu Wote,
Naomba msaada wa kitaalamu
Nifanyeje niweze ku-install SAP GUI 7.10 kwenye Windows Vista?
Kila-attempt niliyofanya inaishia na ERROR ambazo zina-vary!
Natanguliza shukrani
Kwa wenye interest, kwenye pita pita nimekutana na hii kitu.
Pia kuna habari kwamba
Tanzania Government has signed contract
with Chinese company to deploy the 7,000
km national fibre...
Ikipewa code Office 14 toleo jipya kabisa la MS word ikichukua nafasi ile MS 2007....ina vitu vizuri hasa kwenye user interface uptodate....ni kununua copy ya MS 2007 orijino from now mpaka Sept...
Ikipewa code Office 14 toleo jipya kabisa la MS word ikichukua nafasi ile MS 2007....ina vitu vizuri hasa kwenye user interface uptodate....ni kununua copy ya MS 2007 orijino from now mpaka Sept...
kuna pc virus sijui ni mpya au mimi ndio ameingia kwa pc yangu, ni ananisumbua, kama ameshaingia kwenye pc yako, fungua internet explorer then kwenye tittle bar ya internet explorer una kuta...
Since last test eight months ago, network speed, reliability has improved
PCWorld
During December and January, PCWorld and testing partner, Novarum Inc., tested the download speeds, upload speeds...
Tapping on arm allows users to scroll through menus and select options
Chris Harrison/Carnegie Mellon University/Microsoft
Skinput turns a user's own body into a touch interface for electronics...