mrlonely98
Member
- Nov 6, 2009
- 94
- 6
hamjambo wana jf? nilikua nauliza je kuna offisi za google tanzania?
sina uhakika lakini nadhani Hizi nchi nyingine kama Kenya, Nigeria, Egypt wanaweza wakawa na ofisi zenye watu wa marketing na sales tu au wakashirikiana na baadhi ya taasisi za IT. ila wakenya wanatuacha.