Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu kwanza Heshima kwenu, baada ya hapo naomba nisaidieni mannual setting za vodacom na tigo.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwavile tunagombana na wapika gongo, kwanini tusinufaike nao ili na sisi wote pia tunafaike. Ni hivi, iwapo mabasi au daladala zote zitatumia gongo ama kiutaalam zaidi ETHANOL gharama za usafiri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wa kupatiwa notes za Introduction to Computers
0 Reactions
1 Replies
11K Views
Java applet ni progam iliyonadikwa katika java na ikaweza kuunganishwa na HTML na hivyo program kuweza kufanyakazi kwenye browser yeyote. Program ya java inayo run katika applet ina faida...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
If you get the codes from the website i have Given u, you can directly download the code writer, ambayo itatumika ku unlock hiyo modem yako Gonga SEKULU Kupata hiyo Link.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba msaaada wa anaezijua unlock code za modem ya zein e1550.nataka kuichakachua kupitia (hauwei modem code tool)
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Google Safe Browsing diagnostic page for www.tanzania.go.tz/mkurabita
0 Reactions
6 Replies
2K Views
unaweza kutumia modem yoyote katika router yako ya huawei d100 baada ya kui unlock..normally imekuwa locked kwa zantel modems only !!
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Introduction A lot of people don’t know that if you run Windows XP or Windows Vista it is possible to build your own wireless network at home or office without using a wireless broadband...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani naomba msaada kuhusu google Chrome nataka kubadilisha Lugha kutoka KISWAHILI kwenda kiingereza. Nimejaribu kutumia ikiwa na kiswahili ila imenishinda. Naomba mniambie niende wapi ama...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau ma great thinkers, naomba nitoe ujumbe ambao nadhani unaweza kuwasaidia wale wapendao mambo ya ku Fix matatizo kwenye computer hasa window seven. Si unajua bongo, nilimuomba mjasi a.k.a...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu, Naomba kujua software amabyo naweza kutumia ili kukopi movie kutoka katika DVD ambazo ziko protected, maana nimeiingiza nataka kuibanjua, basi naaambiwa haionekani DVD yako. Nitashukuru...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
jamani wana jamvi natumia window 7 na ninahitaji kuset serial communication port pia baud rate nifanyeje msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mouse ya laptop yangu toka jana imegoma kufanya kazi natumia ile ya kawaida lakini kabla sijaipeleka kwa fundi naomba nisaidiwe huenda ikawa ni swala labda la setting
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Great Thinkers,naomben mnisaidie jinsi ya ku update software za modem...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tuongelee yote kuhusu engineering Tanzania, Cdhan kama nimekosea jukwaa hapa ndo mahala pake, Ningependa kufahamishwa kuhusu soko la engineer tanzania, Tuongelee yote kuhusu ajira, Tenda zao...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba msaada wa kujiunganishia internet ya TTCL kuna waya wao wa simu upo ndani nyumbani. Je ninahitaji vifaa gani vingine ili kuweza kujipatia huduma za internet kwenye kompyuta yangu? Naomba...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Nilikuwa na avast 5 kwenye lappy yangu, nikai-uninstall na kuweka Avira premium. Sasa nikienda kwenye registry nakuta values za avast na kila nikijaribu kuziondoa inanikataza as if zipo kwenye...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
HP G5000 Note book, OS Window xp Laptop hii ilikuwa ina stuck ni kaona niifanyie system restore, nilipo bofya sysrem restore ikafuta icon zote za desck top na task bar kama wakati inataka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wandugu naomba msaada wenu, natumia simu ya blackberry, nilikuwa nikifungua baadhi ya website zinataka niwe na adobe flash player, nimetafuta katika getjar sikupata,sasa wandugu nifanyeje ili...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…