My first java applet

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,938
1,437
Java applet ni progam iliyonadikwa katika java na ikaweza kuunganishwa na HTML na hivyo program kuweza kufanyakazi kwenye browser yeyote.

Program ya java inayo run katika applet ina faida nyingi. baadhi ni

  • Mtumiji/client hana sababu ya kuisntall prgram kwenye computer yake. iprogram nakuwatayari kwenye WWW.
Hapa nimeweka mchezo wa table tennnis kutumia applet kwenye web yangu ya majaribio.

Unaweza kucheza game hii hapa http://mawasiliano.zxq.net/mpirawameza.html

Credit to Dubo ambaye hakunichoka kwa msawali yangu ya kizushi.

welcome for +ve and ve feedback.
 
Simple but addictive.
I want a present, got a score of 10. Think you can start a recording system (only for the highest for each user session. And keep a tally of the scores. Top three you need to buy them a drink.

comment: Can you add alternate speeds for a proper challenge as it would be in real life. Some smashes and the like...
 
Simple but addictive.
I want a present, got a score of 10. Think you can start a recording system (only for the highest for each user session. And keep a tally of the scores. Top three you need to buy them a drink.

comment: Can you add alternate speeds for a proper challenge as it would be in real life. Some smashes and the like...


ok the next challenge i would like is the game to accomadate two real players so that user x from washigton can play with user y from tanzania.

Now its one real plyer playing against a computer wich can never loose.

Any way i will read further online to see hizo option za kuifanya game iwe fun zaidi.

Umenikumbusha smashes . nakumbuka nilikuwa napenda sana huu mchezo secondary.
 
do they still use applets?

Yes naona bado applet zinatumika sana tu. yahoo games nyingi ziko java applet.

But sina utaalam wa kujua kati ya java applet na Flash wich si better.

Je inawezekana cde hizo zilizokwenye java nikazifaya zirun kwenye flash badla ya ktumia applet??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom