Kwanza napenda kushukulu kwa watu kuni omba niludi kwenye jf nilikasilishwa na majungu ambayo si ya msingi.
0712484995
step za kufanya
si kila dish kama lina shika ila kama una lnb kubwa ambayo...
Kuna bosi hapa sasa kazidi, kwani ana tabia ya kufunga simu ya mezani (ttcl land line) kisa eti tusipige. Naye utumia pin kufungulia . Je kuna mtu mwenye master key ili atusaidie ?
Site Profile
Estimated Value: $102,120.06 USD
Estimated Revenue: $138.97 USD per day
$4,169.24 USD per month
$50,725.74 USD per year
Estimated Pageviews: 61,375 per day
1,841,255 per...
Nasikia AC za split unit ni energy saver kuliko ile aina nyingine ya split unit. Wengine wanasema Window type ni durable kuliko split units. Je zinaweza kulinganishwaje in terms of power...
Dutch Students Create Worlds Largest Multi-Touch Screen
Dutch Students Create Worlds Largest Multi-Touch Screen
Students at the University of Groningen created an enormous Multi-Touch...
Wakubwa nataka kutumia laptop isiyo na option ya fire wire pin kwa ajili ya ku-capture video direct kutoka kwenye video camera to Laptop .
Je naweza kufanyaje kwa sababu hakuna (nadhani)...
Naomba msaada kwa yoyote anayejua na ambaye ameshawahi ku-upgrade LG GW 305/300 au aina yoyote ya LG mobile inakuwa ni vipi caz nmejaribu ila mara nyingi inakataa. Kama unajua please nisaidie.
wakuu baada ya kukomaa kwa mda nimefanikiwa kuiponya dv9000 lile tatizo la kuwaka blue light now ipo safi inafanya kazi kama kawa nimeona nirejeshe feedback kama nilivyoahidi hapa jamvini
Likitokea kosa kwenye diesel Engine Machine Kimakosa ukaweka Petrol ina maana hiyo machine itakuwa imekufa ama kuna namna unaweza rekebisha?
I stupidly put petrol in my 10 KVA silent Diesel...
Jana nimepokea mesage hii ambayo ilinishangaza sana,
"Your Vodacom Buddy transaction REF:XXXXXXXXXXXXXX has been completed"
Cha ajabu zaidi, nilipoangalia salio nikakuta 79,000/= kama...
Habari za jioni simu yangu ni N79 origin nashindwa inashindwa kusoma pdf nyingi yaani haziplay naomba msaada wenu wataalamu.Ikiwezekana nitumiwe kwenye email yangu ( dseverin47@gmail.com) naomba...
Wadau kuna modem Huawei mobile broadband HSPA+ USB slider model:E1820.sasa wanasema hii modem inakubali chip ya airtel and Vodacom.So nimejaribu kutumia Vodacom.after installation ina autorun page...
Hello wana JF!
Niliigawa Hard Disk yangu katika sehemu 4: Local Disk C, E, F na G ambapo G ni kwa ajili ya Back Up. Tatizo ni kwamba G imejaa na ninapojaribu hata kufuta baadhi ya mafaili...
Nimenunua simu ya kichina. Imelokiwa kutumia SIM card ya tiGO tu. nataka iwe inapokea laini zote.
Inaitwa MI au Mi-Q+
Imetengenezwa na Mi-Fone company
IMEI: 357213030445512.
TAFADHALI...
natafuta diplosat model namba DDSR5512 FTA,mwenye kujua pa kuipata anijulishe
nimetafuta maduka yote mwanza nimekosa,na mimi niko bukoba
mwenye kujua anijuze ili niweze kuipata
nitashukuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.