Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wana wa familia ya JF hamjambo?.Jamani naombeni mwongozo nifanye nini ili kuiokoa simu yangu nokia E61i jana nimedownload movie ya ukubwa wa MB 4 na capacity ya memorycard ilikuwa ya MB 512. Sasa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
haya habar njema,ukitaka full movies HD quality 4 free in yo mobil phone jus go to o2cinemas.com,tayar nshadaunlod k2 inaitwa The Source Code
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba msaada wa unlock no ya ZTE modem ya safaricom niweze kuitumia kwa sim card za TZ, IMEA NO:351817040823538, model: MF637U
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau nina shida laptop yangu wakati wakustart kikawaida inatakiwa inipe swicth user ili niweze kuchagua user,lkn hutoa user mmoja tu,kweye cotrol haitaki kuset user,msaada tafadhali
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za mapumziko wakuu!Naomba kuuliza leo nimeclick wikipedia nikaona historia za watu mbalimbali,nami napenda kuweka habari zangu hapo naomba mwongozo jamani.Asanteni pasaka njema .
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba msaada wa kupata activation key za internet download manager version 5.18.2
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello wana JF wenzangu! Napenda kuwaalika wana IT wote katika, ceremony moja ambayo nimeiandaa kwa ajili ya kuweka hewani(online) software yangu ya mwanzo kwa ajili ya symbian v3 mobile...
0 Reactions
1 Replies
956 Views
mwenye ujuzi wa kuichakachua hyo mashine au cd zake maana ziko juu sana...!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
SAID Mahupa, mfanyakazi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam anazungumzia adha ya umeme inayoendelea kuitikisa Tanzania akisema: “Suala la mgawo wa umeme limekuwa tatizo sugu lisilo...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
Nimekua nikisika toka kwa watu tofauti tofauti kwamba kuna mazara kuegemeza laptop direct kwenye mwili je ili ni la kweli??????
0 Reactions
11 Replies
3K Views
QUESTION: "Where do the characters go when I use my backspace or delete them on my PC?" ANSWER: The characters go to different places, depending on whom you ask: The Catholic Church's approach...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana Jf heshima mbele. Naomba msaada wa jinsi ya kupata ITV kwenye king'amuzi cha star times toleo la kwanza. Kwa toleo jipya inawezekana kwa kuingiza manual search kwa kutumia frequency 530...
0 Reactions
6 Replies
964 Views
Tanzania is one of three East African countries where scientists fear trees and shrubs used in malaria treatment may disappear owing to widespread deforestation and over-exploitation for medical...
0 Reactions
0 Replies
825 Views
Psp
wakuu habar zenu? Napenda kufaham kama kwa hapa bongo naweza kupata display ya psp maana ilianguka bahat mbaya ika crake. Ijumaa kuu njema
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Natumia line ya airtel na simu ni nokia X6. Ila nina tatizo na spidi ya kinyonga nikiwa nabrowse au kudownload kwenye net. Kama kuna yeyote mwenye uzoefu na hili anisaidie tafadhali...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wana Jf, wakuu leo nimekutana na kimeo, naomba kama kuna mtu mwenye idea na hii error, Moderm inakubali kuwa installed but ninapokuja kufungua ili nianze kubrowse inaniletea ka error...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Bofya link kwa kudownload CISCO IOS images Cisco IOS 12.4 CISCO IO PACKAGING CODES mfano 1: c3725-ipbasek9-mz.124-25b.bin C3725 : Platform Ipbase : Feature Set K9: Crypto Incl...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Fellow Members, Three days ago I was being pestered with SMS from Voda saying that my number was choosen for the 3mil draw and that I had to text my name.Charge 550/=! I decided to send the...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna watu wanapita kwenye taasisi kutoa elimu kuhusu matumizi ya simu na madhara ya kansa. Jamani kuna mwenye ujuzi na hili, je kuna watu wanafahamu hi move? Jamaa wameacha na za sim Victo Lema...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Naombeni msaada wakuu. Nimeibiwa simu yangu aina ya SAMSUNG GT B3410. Nina risiti yake na warranty. Je, kuna uwezekano wa kui-track iwapo hewani? Thanks.
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…