Wadau nina shida laptop yangu wakati wakustart kikawaida inatakiwa inipe swicth user ili niweze kuchagua user,lkn hutoa user mmoja tu,kweye cotrol haitaki kuset user,msaada tafadhali
inawezekana hujacreate user zaidi ya ww, kwa hapo sahau kuswitch user
Log in kama Administrator > Right click My Network Place > Properties > Right click Local Area Connection > Properties hiyo page mpya itakayofunguka tafuta hapo "client services for net ware" ikiclick halafu click Unistall ikishaondoka nenda kwenye control panel click user accounts ukishaona accounts zote click "Change the way user logs on or Off" > weka tick use welcome screen", na "use fast user switching" ukimaliza restart pc
>> means nevigate to....
mkuu imekubali we ni noma nimekuaminia,lkn je vipi haitasumbua nitakapochomeka modem kwenda kwenye net?manake netware imejitoa kabisa,salute
ss wakubwa maujanja yenu ni ya kweli hebu niongezeeni maujanja zaidi,nataka some info zipatikanekwenye admin peke yake mtu akifungua user ac nyingine asizione,ushauri washika dau,hi to bushbaby na mazd[/QUOT
Wakati unacreat account ya Admin huwa kuna option ya kuset data zako ziwe private, nadhani kuna jinsi ya kurudisha ngoja nichimbe, ila kama vp unaweza kucreat account nyingine ya admin ukaset hiyo option.