KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 278
Wana wa familia ya JF hamjambo?.Jamani naombeni mwongozo nifanye nini ili kuiokoa simu yangu nokia E61i jana nimedownload movie ya ukubwa wa MB 4 na capacity ya memorycard ilikuwa ya MB 512. Sasa kila ninapotaka kwenda kwenye gallarey inagoma hata kwenye menu inagoma ila nikichomoa card inakubali inafanya kazi vizuri.Nisaidieni tatizo ni nini?