Help! ITV kwenye king'amuzi cha star times

Help! ITV kwenye king'amuzi cha star times

Mpangamji

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2010
Posts
540
Reaction score
141
Wana Jf heshima mbele. Naomba msaada wa jinsi ya kupata ITV kwenye king'amuzi cha star times toleo la kwanza. Kwa toleo jipya inawezekana kwa kuingiza manual search kwa kutumia frequency 530. Naomba msaada wenu taarifa za tbc1 zinaniboa sana siku hizi.
 
Wana Jf heshima mbele. Naomba msaada wa jinsi ya kupata ITV kwenye king'amuzi cha star times toleo la kwanza. Kwa toleo jipya inawezekana kwa kuingiza manual search kwa kutumia frequency 530. Naomba msaada wenu taarifa za tbc1 zinaniboa sana siku hizi.

Mbona umeleta NEWZ bila kutarajia?...Mimi hata hiyo ya toleo jipya sikuijua!...Aksante sana broda!..kwa swali lako sina msaada, ngojea wataalamu!
 
sio kweli Star times ina channel 38 ITV hawajajiunga nao labda kuomba ITV iingie mkataba nao
 
sio kweli Star times ina channel 38 ITV hawajajiunga nao labda kuomba ITV iingie mkataba nao

Ni kweli mpaka ITV wajiunge nao kwa mkataba kama walivyofanya Channel ten, Clouds na TBC1. Itakuwa vema na wengine wajiunge kama ITV, Star Tv na wengineo.
 
570 imeleta ATN, EATV, ITV na nyingine saba za nje lakini katika katika za ndani ATN tu ndio inaonyesa, zingine ziko black tu afu badae zinasema no SERVICE AVAILABLE, any soln?
 
Back
Top Bottom