Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kwenu Wataalamu JF. Nina maswali mawili ambayo wengi wenu mnaweza kuyaona ni rahisi lakini kwa sisi ambao tumeanza ;kucheza' na Computer baada ya kustaafu kazi ofisi za serikali zisizo na Computer...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
PLEASE, Naomba mnisaidie wadau. Laptop yangu ina OS mbili. Ubuntu na XP. Nikitumia ubuntu mambo poa ila nikilog-in kwenye windows XP haisomi flash wala externel, I don know how to solve it. I NEED...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
jamani wadau naomba mnisaidie nina laptop yangu imegoma kufanya installation ya window.inafika mahala inastuck kabisa.inaishia kwenye kipengele kinachosema SETUP UPDATE WINDOW.Nifanyeje?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada wenu kuna ndugu yangu amenunua laptop Ila akijaribu kuingia inamwambia imefungwa biodisk sasa ananiambia inabid i aingie kama guest. Amepeleka kwa mafundi kadhaa hapo dar...
0 Reactions
2 Replies
744 Views
salama wakuu? Tatzo langu ni moja,kuna jamaa yangu nilimuazima external yang aina ya transcend 500gb akacopy movie,sasa sijui alifanyaje nikiikonect kwenye pc huweiz kuiona kwenye my computer japo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naomba msaada me ni member ila huwa najaribu kuchangia maada mbalimbali wanazoanzisha wajumbe ila nimepewa warning kuwa ushiriki wa acount yangu hauonekan hivyo naombeni msaada khs jinsi gani...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari Jf.Mi nna diploma in clinical medicine .Malengo yangu mwaka huu ni kurudi chuoni MUHAS/SUA.Nime2mia muda mwingi kutafuta forms tajwa hapo juu bila mafanikio.Ninashimdwa kuelewa kuwa tatizo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Miaka michache iliyopita tuliwahi kuwa na mazumzo na watu Fulani kuhusu Punguzo la Programu za komputa zinazotumika sana na Watu nchini haswa zile za Kampuni la Microsoft kama Microsoft Office ...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
salama wanatekno...guys nimesikia huduma ya tigo ya data ni nzuri...sasa mimi siwez kupata mtandao wao wanaodai ni wa 3G Napata EDGE tu....tafadhalini msaada kwa hl,shukran.
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Hi all, Survey ended. Thanks for responding. Home | CMS Customization | Web development | SEO | Web design Cambridge
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka kuanza kupiga video za uswahilini.Je camera ipi ni ya bei nafuu kabisa na nzur?ina range shiling ngap?Naombeni msaada wataalamu!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Helo wataalam Kuna ka modem ka Huawei E153 KAMENISHINDA kuchakachua nimejaribu kufuatilia thread mbali mbali lakini napata error 'send unlock command: ERROR baada ya kufuata hatua anuai...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
NOTE: This post is intended for novice users. Experts are welcome to contribute. Social Networks kama facebook ,tweeter, JF, n.k zimejenga uhuru mkubwa wa kujieleza. Bahati mbaya kuna wengine...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilipoiona hii nikafanya quick survey ya nyumba yangu, nikabaki kucheka sana!:shock::ranger: Nawatakia Workers' Day njema wakuu!
0 Reactions
0 Replies
844 Views
hellow great thinkers! Nina tatizo na simu yangu ni iphone 3G (mchina),ilianguka chini,sasa inaleta shida in texting! Ni touch screen. Kwa yeyote aliye na utaalam wa michina anisaidie...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu naomba mwongozo wa namna ya kuweka Avatar!simu yangu ni N79
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The whole social networking phenomenon has millions of Americans sharing their photos, favorite songs and details about their class reunions on Facebook, MySpace, Twitter and dozens of similar...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
hapo chini huyo jamaa atatoa interview amwage razi live tarehe 4 mwezi huu more news na majadiliano gonga hapo chini Inventor Survives 10 Murder Attempts to Release World Changing...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Nimejaribu ku-unlock Airtel Modem kwa utaratibu kama wa modem za Tigo nikapata Un-Lock errors naombeni msaada wenu.Natanguliza shukrani
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna kitu kinatendeka kuhusu hii airtel internet. Wao wamekuja na offer wanakupa 200mb free ukiongeza credit kabla ya saa 6 usiku, sasa cha kushangaza nimekuja kugundua kwamba ukiweka credit na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…