Digital video camera

Digital video camera

tizo1

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2011
Posts
861
Reaction score
159
Nataka kuanza kupiga video za uswahilini.Je camera ipi ni ya bei nafuu kabisa na nzur?ina range shiling ngap?Naombeni msaada wataalamu!
 
itategemea na utatumia program gani ya kompyuta ya editing itakayoendanda na camera video yako. yaani utakayoweza ku-connect na ku-download video kwenye kompyuta kwa ajili ya ku-edit.KUNA CAMERA NZURI ZA SONY, PANASONIC kuanzia laki 6.
 
itategemea na utatumia program gani ya kompyuta ya editing itakayoendanda na camera video yako. yaani utakayoweza ku-connect na ku-download video kwenye kompyuta kwa ajili ya ku-edit.KUNA CAMERA NZURI ZA SONY, PANASONIC kuanzia laki 6.
Asante kwa maelezo mwingine mwenye jipya anijuze wataalam
 
Ingia hapa chagua kisha unawea kutembelea maduka ya cameras popote ulipo na kupata kwa bei kuanzia laki 5 na kuendelea na pia used zipo hadi laki 350,000 hapa bongo.

lakini kama unataka kufanya kazi kubwa inabidi uwe na camera ya maana kuanzia 2m na kuendelea
 
Back
Top Bottom