Help is needed...!!!!

gracious86

JF-Expert Member
Mar 25, 2011
437
54
salama wakuu? Tatzo langu ni moja,kuna jamaa yangu nilimuazima external yang aina ya transcend 500gb akacopy movie,sasa sijui alifanyaje nikiikonect kwenye pc huweiz kuiona kwenye my computer japo ukienda pale kwenye taskbar kuna option ya 'remove usb device' inavoonesha inasoma bt haiwez onekana. Hata ukienda kwenye device manager unaikuta kwenye list of hard drives tatizo linakuja siwez kuiacess. Naomba msaada wenu wakuu!
 
Jaribu kwenda kwenye My Computer kisha kwenye address bar ya juu type directly drive letter so kama hiyo external ni drive E type E:\ kama ni F type F:\ etc.
Probably imepata virus.
 
Ikiwa njia ya Kang imefeli, tumia Windows Xp live (ile inayorani katika CD, unaweza kuikuta katika CD/DVD ya Royel XP na Media Center DVD ) au tumia LINUX UBUNTU live CD, fungua harddrive yako kupitia hiyo then remove virus(mafaili ya exe usio yaelewa chanzo chake wewe weka katika trash bin)
 
tatzo ni kwamba haionekan kabsa,hata kwenye list of devices huion,unaxia 2 kale kamlio unapokonect a device
 
iVRAW.png
 
DOWNLOAD usb shield security,RUN SETUP,REBOOT MC,ukija connect any usb itakuwa solved before it read
 
imeingia VIRUSI tu...... na mwisho wake itabidi uifomati tu na utafuta kila kitu!!!!
 
click start.then nenda control panel.kama control panel yako in clasic view setting. double click administrative tools.followed by computer management.halafu fungua disk management.Kama control panel yako iko in category view.nenda performance and maintance,chagua administrative tools,followed by disk management under storage category.Hapo utaona al hard drives.sasa check kama external yako iko detected.if yes.right click on the external and create new partition.ur done.
 
naona itakuwa just has been deleted as a partition.haiwezi kuonekana.itakuwa as unlocated space.hope it helps
 
imeingia VIRUSI tu...... na mwisho wake itabidi uifomati tu na utafuta kila kitu!!!!

buggy virus wa aina gani anaweza fanya mpaka hard drive iwe detected lakini isionekane?give us the name if possible
 
mie najua nilishawahi shuhudia incidence kama hiyo, na mwisho w cku nikuwa hiyo external drive ilikuwa ni VIRUS tu! Na virus si unajua wapo wa kila aina....Mwisho wake utaishia kui-reformat tu! Mie natumia MAC laptop, si unajua jinsi Mac computers huwa hazisumbuliwi na virus wa PC, basi mie naweza kufungua external drive zlizoshambuliwa na virus wa PC bila shida. Kwahiyo NYANGIEZ jaribu kuifungua hiyo xternal drive kwenye MAC NA unaweza ku-restore ma-file yako!
 
mie najua nilishawahi shuhudia incidence kama hiyo, na mwisho w cku nikuwa hiyo external drive ilikuwa ni VIRUS tu! Na virus si unajua wapo wa kila aina....Mwisho wake utaishia kui-reformat tu! Mie natumia MAC laptop, si unajua jinsi Mac computers huwa hazisumbuliwi na virus wa PC, basi mie naweza kufungua external drive zlizoshambuliwa na virus wa PC bila shida. Kwahiyo NYANGIEZ jaribu kuifungua hiyo xternal drive kwenye MAC NA unaweza ku-restore ma-file yako!

Man sasa with mac,i mean file system ya Microsoft and mac ni sawa in storage,i mean like would it be detected in windows kama itaformatiwa in mac?beside nahisi huy jamaa ashapata solution,,,ndio maana yuko kimya...
but he is spposed atupe feedback kama amefanikiwa na je amefanikiwa kwa njia ipi?
 
Wakuu kwa Mac mtampa shida kama hana jee?--na kama mnavyojua mac ni commercial OS so mnaonaje solution yangu ya UBUNTU live CD?
----------------
@Zasasule ni kweli feedback atoe ndio na wengine tukifikwa tujue best solution.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom