Yap habari zenyu people hv wajameni mie kwa ujuzi wangu nafaham kuwa kuna mitandao ya GSM and CDMA ambapo GSM kuna tigo, airtel, voda
ambapo wana GPRS/EDGE and 3G networks, pia zantel ipo lakini...
Naitumia kwenye tarakilishi yangu. Siku nimefyonza kabrasha fulani nikaenda kuprint sehem fulani. Narudi na kuichomeka inanihitaji ku scan. Ile kumaliza scan na taarifa zangu zote muhimu zimefutwa...
Naomba Msaada nataka kutumia huduma ya iNTERENERT ya Vodacom kupitia modem ya ZANTEL nifanyeje
mbona sioni IMEI yake ila SN yake tu
Pia kuna mdau mmoja aliwahi kuandika humu kuwa Modem ya...
Tunajua kwamba almasi ni carbon; na inatengenezwa kutokana na High Pressure and Temperature over a long time. Na hivyo ndivyo natural diamond inavyotengenezeka...,
Hiyo basi mtu yeyote anaweza...
Nimetengeneza toolbar ambayo itakuwezesha kuona channel zaidi ya 7 kutoka katika kila nchi niliyoitaja. Link hii hhapa Welcome to www.givenality.ourtollbar.com
Freelancer programmer is needed to undertake below project; it's one developer project and should not take more than 4 weeks. This project will be implemented using WordPress.
Project...
Habari wana Jf,kuna software nimeikuta kwenye pc ambayo ime block web browser yeyote kufunguka ili kuweza surf internet,yani huwezi fungua Internet explorer wala firefox wala google...
Wakuu hii kitu ni balaa, iphone prototype inapigwa mnada ebay, sasa hivi bei imefikia US $999,999.01! OMG
Fuatilia mnada hapa; Apple iPhone 4 black APPLE GENUINE PROTOTYPE, TESTER | eBay
Wakuu na watalaam
Je hatuwezi kuwa na animated avatar iliyokuwa created na JF members.
Sasa kwa wenye ujuzi au knowledge sijui ni programmers au graphic designers na developer tunaomba...
Transparent desktops were quite popular year ago. They were followed by all kind of Transparent Devices all the way to transparent billboards.So I made a comprehensive collection, and posted it...
Je, nikinunua modem ya Tigo inayouzwa TSh. 30,000 nitaweza kui-unlock na halafu ikafanya kwa line zingine kama modem za voda na airtel BILA KUPUNGUZA SPEED? Kama jibu ni ndiyo nitawaza kununua...
(CNN) -- Hackers apparently broke into the FoxNews.com's Twitter feed for political news early Monday and used it to announce -- falsely -- that President Barack Obama had been assassinated...
Wakubwa habar zenu,ninaombeni msaada wenu jaman,ninatumia iphone 3GS,lakini tangu jana hai display chochote nikipiga namba ynagu inaita lakini kwenye screen hakutokei lolote,ndio imekufa au kuna...
Nimesoma hii habari nimejikuta nacheka sana hasa hilo neno la Performnce enhencing code. kumbe sio drugs tu mpaka code teh teh teh
From Barry Bonds to Lance Armstrong, many of the sporting...
Wakuu, nimepoteza handset yangu ya Blackberry, ipo namna yoyote ya kuitambua inapotumika au kuifunga kabisa ili jamaa aliyeipata asiwe na manufaa nayo?. Providers wangu wanasema wao wananaweza...
Wakuu nina Porn-Blocker ambayo ime-expire, sasa inablock hata programmes zangu za kawaida, nataka kuiunistall lakini nimesahau password, naomba msaada wa jinsi ya kuiondoa please kwa anaefahamu.
TUNAZO SOFTWARE MBALI MBALI AMBAZO TUNAUZA, KWA ANAYEHITAJI ANI-PM:
- ArcGIS DESKTOP 9.2
-ORACLE 11g ENTREPRISE EDITION
-CINEMA 4D v12
-PINACLE STUDIO 14 HD
-AUTODESK AUTOCAD V2012 MULTI WIN64...