JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,902
- 9,338
Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu ufanyaji kazi wa hivi vitu naona kama zinafanana.kwamba kila kimojawapo inawezekana kinatumiwa mawasiliano ya kipekee na provider wa huduma tofauti na matangazo ya redio na tv ambazo ni za free.mfano mtumiaji A ambaye hajalipa hapati huduma wakati huohuo mtumiaji B aliyelipa anapata huduma.mwenye ufahamu naomba anijibu 1. inawekana vipi kumnyima huduma mmoja na kumuhudumia mwingine, na 2. kuna tofauti gani kati ya mawimbi ya decoder na yale ya simu na 3. Je kuna uwezekano wa minara ya simu kutumika kurusha matangazo ya tv hasa hizi za decoder jambo ambalo litawezesha maeneo mengi kufikiwa kirahisi au kuna ugumu hapo na kama upo ni upi?ngoja niishie hapa .