Heshima yenu wakuu!
Tafadhalini naomba kwa mwenye ufahamu anisaidie hili, nataka kuunganisha Huawei modem kwenye Laptop yangu, inatumia OS ya Window 7! Nimejaribu hii Modem kwenye Window XP inakubali haina shida,tatizo ni kwenye hii Window 7. Nikiinstall napata page inayosoma Mobile Partner kama kawaida na mtandao ninaotumia unakuja kama kawaida "EDGE Airtel TZ" na nimejaribu TiGo na VODA nao inasoma, tatizo sasa hapa kwenye Profile Name hakuna kinachotokea na nikijaribu kuconnect inagoma pia!
Nimejaribu kupiga kwa jamaa wa Customer Service wa Airtel wananiambia nikanunue Modem nyingine ya Airtel tu, na wakati nimewaambia hii hii Modem kwenye Window XP inafanya kazi, wameshindwa kunielekeza. Nadhani kuna setting sijazifanya kwenye hii kompyuta, na sijui naanzia wapi! Naomba anayejua asaidie katika hili
Tafadhalini naomba kwa mwenye ufahamu anisaidie hili, nataka kuunganisha Huawei modem kwenye Laptop yangu, inatumia OS ya Window 7! Nimejaribu hii Modem kwenye Window XP inakubali haina shida,tatizo ni kwenye hii Window 7. Nikiinstall napata page inayosoma Mobile Partner kama kawaida na mtandao ninaotumia unakuja kama kawaida "EDGE Airtel TZ" na nimejaribu TiGo na VODA nao inasoma, tatizo sasa hapa kwenye Profile Name hakuna kinachotokea na nikijaribu kuconnect inagoma pia!
Nimejaribu kupiga kwa jamaa wa Customer Service wa Airtel wananiambia nikanunue Modem nyingine ya Airtel tu, na wakati nimewaambia hii hii Modem kwenye Window XP inafanya kazi, wameshindwa kunielekeza. Nadhani kuna setting sijazifanya kwenye hii kompyuta, na sijui naanzia wapi! Naomba anayejua asaidie katika hili