wana jf naomba msaada wenu nimedownload movie wakat nina unzip likatokea folder lina ujumbe Please download this password (txt file) from the following links...
Kutokana na mazingira yetu ya uswaz nalazimika kuweka kwenye simu yangu mobile traker sotwer!<br />
Juzi tu vibaka wamechana dirisha na kuiba blackberry yangu lakini kwa shingo upande nimenunua...
Wakuu salaam! naomba msaada kuhusu hii sim ya blackberry 8100. ni among earlier versions za blackberry. tatizo linakuja kwamba haikuja na browser configuration japo ina internet...
ENJOY !! The best
operatingsystem serving the
ENJOY !! The best
operatingsystem serving the
planet !! Mac OSX Snowleopard !
This image comes with absolutely no warranty !!
You are using this...
naombeni msaada jinsi ya kuchakachua E153 HUAWEI MODEM YA TIGO ili itumie SIMCARDS za Zantel au Airtel............please saidieni sina hela ya kununua Modem zote!
Last month, nilitoa habari kwamba Nokia N9 might be powered by MeeGo instead of Symbian Anna. Likewise, this gave enthusiasts hope that Nokia will still push the MeeGo platform despite the looming...
Jamani naomba mnisaidie labda nipo mbali na media, nilikuwa na nimejiunga na huduma ya Airtel ya 400MB ambayo huwa naitumia siku zote, ilipofika jana ikaisha leo saa 10 jioni nikajiunga tena kwa...
Msaada waatalam wa computer.Hivi majuzi desktop imegoma ku start kabisa,nilihisi tatizo ni PSU lakini baada ya uchunguzi nilibaina output voltages zote sawa.Nimetrace tatizo down to mobo au...
Msaada waatalam wa computer.Hivi majuzi desktop imegoma ku start kabisa,nilihisi tatizo ni PSU lakini baada ya uchunguzi nilibaina output voltages zote sawa.Nimetrace tatizo down to mobo au...
Hali zenu wakut. Mimi tatizo langu ni modem ya huawei kwenye counter reset. Kila nikijaribu kureset modem ya huw e173 inakataa nimejaribu counter reset aina 2 zote zimegoma. Je kuna counter reset...
Kwenye matangazo na documentation za internet packages zinazotolewa na tigo (3.5G network, simu na modem), sijawahi kuona sehemu wanazungumzia speed. Wanazungumzia tu package, ya chini inaanza...
Simu yangu Nokia 3110c inawaka ma kuzima,nadhani inavirus make nimekua nikidownload nyimbo kutoka kwenye intanet,naombeni msaada jinsi ya kuifufua make kwa sasa alama ya nokia ikishaonekama tu...
Guyz am lukin 4 a machine(desktop or laptop). Nimeokoteza kama kilo 5 na nusu. Iwe used or mpya as long as iwe fiti kiaina. So kama kuna mtu anaweza kunielekeza wapi au kunishaur. Am vry serious...
Utafiti uliofanywa unaonyesha kuwa watumiaji wa Internet Explorer wana IQ ndogo. Utafuti umekuta kwamba wanaotumia Chrome, Firefox na Safari wana IQ ya kati na wale wanaotumia Camino and Opera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.