Naomba maujuzi jamani inauma sana!!!

Naomba maujuzi jamani inauma sana!!!

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,026
Reaction score
20,511
Kutokana na mazingira yetu ya uswaz nalazimika kuweka kwenye simu yangu mobile traker sotwer!<br />
Juzi tu vibaka wamechana dirisha na kuiba blackberry yangu lakini kwa shingo upande nimenunua nyingine sasa nahitaji ulinzi wa kutosha!!<br />
Mwenye maujuzi atudondoshee softwer hapa!
 
Kama upo kwenye blackberry services download blackberry protect ni nzuri sana
 
Kutokana na mazingira yetu ya uswaz nalazimika kuweka kwenye simu yangu mobile traker sotwer!&lt;br /&gt;<br />
Juzi tu vibaka wamechana dirisha na kuiba blackberry yangu lakini kwa shingo upande nimenunua nyingine sasa nahitaji ulinzi wa kutosha!!&lt;br /&gt;<br />
Mwenye maujuzi atudondoshee softwer hapa!
<br />
<br />
pole sana mkuu. kuna post hapo juu inasema 'maisha uswazi kila siku ni adventure'. hiyo style waliyumia kukuibia cm ni moja ya comments za wadau. Na ww unaishi uswazi? Tujuze kwanza.
 
Jana nimekumbana na dhahama kubwa sana, saa tano asubuhi hivi, napigiwa simu, mtu anauliza hivi wakati unaondoka uliacha geti???, nilishindwa kuelewa mara moja, baada ya kudodosa nio nikaelewa, Kibaka kang'oa geti na kuondoka nalo mida ya saa moja asubuhi, kwani mimi niliondoka nyumbani kama saa 12:33 asubuhi. nashuku hakuingia ndani kudokoa mboga. Kwa sasa nimenoa panga langu tayari kwa kutoa adhabu siku kibaka yoyote atakapoingia kwenye anga zangu.

Kweli uswahilini kuna vituko
 
Jana nimekumbana na dhahama kubwa sana, saa tano asubuhi hivi, napigiwa simu, mtu anauliza hivi wakati unaondoka uliacha geti???, nilishindwa kuelewa mara moja, baada ya kudodosa nio nikaelewa, Kibaka kang'oa geti na kuondoka nalo mida ya saa moja asubuhi, kwani mimi niliondoka nyumbani kama saa 12:33 asubuhi. nashuku hakuingia ndani kudokoa mboga. Kwa sasa nimenoa panga langu tayari kwa kutoa adhabu siku kibaka yoyote atakapoingia kwenye anga zangu.
Kweli uswahilini kuna vituko
Hahahaha...kweli vibaka noma!!Sasa sijui huyo alikuvizia mpaka ukaondoka....si ajabu hata na hodi alibisha mara kadhaa kuhakikisha hamna mtu!!!Pole aisee....
 
F-Secure - Protection - Free Anti-Theft for Mobile - Overview


fungua link hiyo na udownload software ni free.... au kama umenunua lg nenda upande wa security then hapo select option ya mobile tracker.......

mimi natumia hiyo ya hapo juu lakini na kwa kutumia softwara yangu yenye gps naweza kuona hata location ilipo ikiwa itaibiwa....pole sana

maelekezo yote yapo hapo namna ya kuinstall
 
Back
Top Bottom