Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,026
- 20,511
Kutokana na mazingira yetu ya uswaz nalazimika kuweka kwenye simu yangu mobile traker sotwer!<br />
Juzi tu vibaka wamechana dirisha na kuiba blackberry yangu lakini kwa shingo upande nimenunua nyingine sasa nahitaji ulinzi wa kutosha!!<br />
Mwenye maujuzi atudondoshee softwer hapa!
Juzi tu vibaka wamechana dirisha na kuiba blackberry yangu lakini kwa shingo upande nimenunua nyingine sasa nahitaji ulinzi wa kutosha!!<br />
Mwenye maujuzi atudondoshee softwer hapa!