Speed ya Internet ya Tigo ni Ipi?

tototundu

Senior Member
Jul 29, 2009
198
40
Kwenye matangazo na documentation za internet packages zinazotolewa na tigo (3.5G network, simu na modem), sijawahi kuona sehemu wanazungumzia speed. Wanazungumzia tu package, ya chini inaanza shilingi 450 kwa siku.

Kwa wale ambao mmetumia tigo internet, mnaweza kunisaidia kujua hili? Hasa hasa wale wenye kutumia "Max".
Speed ninayozungumzia siyo ile ya normal surfing, bali ile ya kudownload large files na ile ya media streaming kama youtube.

Natanguliza shukrani.
 
Kwenye matangazo na documentation za internet packages zinazotolewa na tigo (3.5G network, simu na modem), sijawahi kuona sehemu wanazungumzia speed. Wanazungumzia tu package, ya chini inaanza shilingi 450 kwa siku.

Kwa wale ambao mmetumia tigo internet, mnaweza kunisaidia kujua hili? Hasa hasa wale wenye kutumia "Max".
Speed ninayozungumzia siyo ile ya normal surfing, bali ile ya kudownload large files na ile ya media streaming kama youtube.

Natanguliza shukrani.
Sio tigo pekee ni mitandao yote hawaweki vitu kama hivyo,its just a business language.
 
Airtel na zoda hata zantel mbona wako wazi tu, 3.6Mbps na kuendelea

Mkuu, hiyo 3.6mbps, siyo speed ya hiyo mitandao bali ni uwezo wa modem.... ukipata ISP ambaye inauwezo wa kukupatia connection speed ya 7.2mbps, ukiwa na hiyo modem inayo Support 3.6Mbps HSDPA services, utakuwa unapunjwa speed na modem yako maana uwezo wake unakuwa mdogo..... Pia kuna modem zenye uwezo mkubwa wa kupokea connection speed hadi 7.2Mbps na kuendelea!
 
Kwenye matangazo na documentation za internet packages zinazotolewa na tigo (3.5G network, simu na modem), sijawahi kuona sehemu wanazungumzia speed. Wanazungumzia tu package, ya chini inaanza shilingi 450 kwa siku.
Kwa wale ambao mmetumia tigo internet, mnaweza kunisaidia kujua hili? Hasa hasa wale wenye kutumia Max
Speed ninayozungumzia siyo ile ya normal surfing, bali ile ya kudownload large files na ile ya media streaming kama youtube.
Natanguliza shukrani.

Mkuu, tiGO kwa sasa hasa hapa town(DSM) ndio mtandao pekee kwenye speed ya kuelewaka na hisiyo badilika badilika kama mitandao mingine...
Mimi nimekua mteja wa tiGO kwa takribani miezi 6, ninafurahia huduma ninayo ipata toka kwao..... Ila kama ulivyo sema mitandao mingi haiko wazi juu ya speed connection wanayotoa kulingana na package usika...
Mimi natumia package ya tigo ya Standard Month ambayo ni TSH, 45,000/= Speed yake ni ya juu kulinganisha na mitandao mingine....Connection speed yake inacheza kwenye 2.8mbps na download speed yake ni kwenye 240kbps hadi 310kbps bila kupungua chini ya hapo na ni unlimited.

Tizama (picha chini) utamu ninao upata toka tiGO
attachment.php

attachment.php



Hivyo basi na kushauri ununue modem ya tigo.....Kumbuka usijiunge na Package za kwenye simu, ambazo zina anzia TSH 450 kwa siku hadi TSH 15,000 kwa mwezi, speed yake ni ya chini sana..... Package za modem zina anzia TSH 3,000 per day hadi 250,000 kwa mwezi..
 

Attachments

  • tigo1i.JPG
    tigo1i.JPG
    64.7 KB · Views: 178
  • tigo4.JPG
    tigo4.JPG
    78.9 KB · Views: 179
Mkuu, tiGO kwa sasa hasa hapa town(DSM) ndio mtandao pekee kwenye speed ya kuelewaka na hisiyo badilika badilika kama mitandao mingine....

Mimi nimekua mteja wa tiGO kwa takribani miezi 6, ninafurahia huduma ninayo ipata toka kwao..... Ila kama ulivyo sema mitandao mingi haiko wazi juu ya speed connection wanayotoa kulingana na package usika...

Mimi natumia package ya tigo ya Standard Month ambayo ni TSH, 450,000, Speed yake ni ya juu kulinganisha na mitandao mingine....Connection speed yake inacheza kwenye 2.8mbps na download speed yake ni kwenye 240kbps hadi 310kbps bila kupungua chini ya hapo na ni unlimited.

Tizama (picha chini) utamu ninao upata toka tiGO

attachment.php

attachment.php






Hivyo basi na kushauri ununue modem ya tigo.....Kumbuka usijiunge na Package za kwenye simu, ambazo zina anzia TSH 450 kwa siku hadi TSH 15,000 kwa mwezi, speed yake ni ya chini sana..... Package za modem zina anzia TSH 3,000 per day hadi 250,000 kwa mwezi..

Mkuu nafikiri figure sahihi ni Tshs. 45,000 per month na wala sio Tshs. 450,000. Kwa gharama ya Tshs. 45,000 unapata 4 GB kwa mwezi!!!! I am using the same same service from TIGO.

Tiba
 
Niko India now natumia mtandao wa Airtel........Speed ya internet ni 4MB nalipia 45,000/=kwa mwezi tena unlimited nashangaa bongo tunauana kila kukicha gharama ni kubwa sana.
 
mmmmh Uncle Rukus TSH 450,000 kwa mwezi?
Ndio mkuu, kama nilivyo sema hapo juu kuwa nimekuwa mteja wa tiGO kwenye huduma ya internet takribani miezi 6 hivi...

Tatizo la tiGO ni kwamba hawaja sambaza huduma ya 3G mikoani.. Kama mwezi 1 hivi nilikuwa mikoa miwili tofauti na kote huko siwa napata net ya tigo ya kuridhisha kiasi kwamba ilibidi niweke line ya Airtel... Kwa miji kama Mwanza ,Arusha,Dar na Zanzibar 3G inapatikana uzuri kabisa.
 
Mkuu nafikiri figure sahihi ni Tshs. 45,000 per month na wala sio Tshs. 450,000. Kwa gharama ya Tshs. 45,000 unapata 4 GB kwa mwezi!!!! I am using the same same service from TIGO.
Tiba
Asante kwa masahihisho mkuu, una jua sisi wengine tumezoea namba kubwa teh teh teh!

4gb? Mkuu labda unaibiwa mimi natumia hii huduma kwa miezi 6 na najiunga na package ya standard month na ninapata unlimited download and upload..

Na kwa mwezi na dowload hadi 60gb
 
Natumia TTCL banjuka , angalau napata Unlimited kwa saa, hapa kwa sasa hivi nime cheki speed ni 2.4 Mbps , nalipa kwa masaa, yani sh 1000 kuaniza 12 asubuhi - 12 jioni, sh 800 12jioni - 3 usiku , sh 500 3 usiku mbaka 12 asubuhi , baso exoensive ila angalau naweza call it Unlimited
 
Natumia TTCL banjuka , angalau napata Unlimited kwa saa, hapa kwa sasa hivi nime cheki speed ni 2.4 Mbps , nalipa kwa masaa, yani sh 1000 kuaniza 12 asubuhi - 12 jioni, sh 800 12jioni - 3 usiku , sh 500 3 usiku mbaka 12 asubuhi , baso exoensive ila angalau naweza call it Unlimited
Hiyo 2.4Mbps ni Connection speed or download Speed?
attachment.php
 

Attachments

  • oooo.JPG
    oooo.JPG
    34.9 KB · Views: 155
Mkuu, tiGO kwa sasa hasa hapa town(DSM) ndio mtandao pekee kwenye speed ya kuelewaka na hisiyo badilika badilika kama mitandao mingine...
Mimi nimekua mteja wa tiGO kwa takribani miezi 6, ninafurahia huduma ninayo ipata toka kwao..... Ila kama ulivyo sema mitandao mingi haiko wazi juu ya speed connection wanayotoa kulingana na package usika...
Mimi natumia package ya tigo ya Standard Month ambayo ni TSH, 45,000/= Speed yake ni ya juu kulinganisha na mitandao mingine....Connection speed yake inacheza kwenye 2.8mbps na download speed yake ni kwenye 240kbps hadi 310kbps bila kupungua chini ya hapo na ni unlimited.

Tizama (picha chini) utamu ninao upata toka tiGO
attachment.php

attachment.php



Hivyo basi na kushauri ununue modem ya tigo.....Kumbuka usijiunge na Package za kwenye simu, ambazo zina anzia TSH 450 kwa siku hadi TSH 15,000 kwa mwezi, speed yake ni ya chini sana..... Package za modem zina anzia TSH 3,000 per day hadi 250,000 kwa mwezi..
Aithee Uncle Rukathi apo kwenye internet download manager ulikuwa unadownload yale mambo yetu nn... hehehehe!
CAUTION: DO NOT TAKE THIS SERIOUSLY.
hehehehe!
 
Aithee Uncle Rukathi apo kwenye internet download manager ulikuwa unadownload yale mambo yetu nn... hehehehe!
CAUTION: DO NOT TAKE THIS SERIOUSLY.
hehehehe!

Dah! mkuu ubarikiwe sana kwa kunifanya angalau nitoe tabasamu kidogo kwa comment yako.......Hah hah hah! hapana mkuu, kuna kitu nilikuwa nadownload hivyo sikutaka kuacha wazi kila mtu aone maana mnaweza kuona ID yangu humu JF mkakimbia bure!
 
mimi naona voda wananiibia-sina muda nitawakimbia hawa-washaanza wizi-mtu mb za kutosha zipo lakini connection zinasoma bytes-huu ni wizi
 
jamni jamani jamani jamani kumbukeni speed ya mtandao wowote inategemea na location unaweza ukanunua mordem ya tigo na kifurushi cha standard month internet na download speed usipate hata 600kbps na mwenzako anapata mpaka 2.5mbps na ukaweka voda bomba7 ukapata download peed mpaka 2.5mbps na mwenzako asipate hata 500kbps hizi network za 3g zimekuwa kama kamari mimi nilichukua mordem ya tigo nikajiunga na kifurushi cha standard month internet nikawa ninapata download speed ya dash bord 500kbps up to 600kbps haizidi zaidi ya hapo nikachukua ya vodacom nikajiunga na bomba7 sasa ninapata download speed 2.5mbps na ninapotoka chumbani nikiwa sitting room napata download speed 1.5mbps haizidi kwahiyo wana jf speed ya 3g inategemea na location unaweza ukasikia tigo kiboko ukakimbilia tigo kumbe location yako inafaa voda na unaweza kusikia voda ndio kiboko kumbe location yako tigo ndio inafaa au sasatel au airtel swala hili limeumiza watu vicha sana hilo lazima mlijue kama hapa bongo 3g bado ni kama kamari kuna kupata na kukosa
 
mkuu rukus umenifaa sana, asante, nimeambiwa airtel wana modem za 7.2 MBps, lakini lazima uwe na mtu 'inside' uweze kuzipata, na speed inakaribia 7.
 
Back
Top Bottom