How to link tembo visa card with paypal

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,519
Niaje wakuu? natumaini hii post tayari kama ishawahi kuepo ivi ila naomba niweze kushare knowledge na wenzangu kwani nimefanikiwa hii kitu hadi raha japo bado sijaaanza transactions. Ni hivi,jinsi ya kufanya ni kwenda kwenye branch yako ulipofungulia account then unawaomba kujiunga na internet banking (its free),kuna form unajaza na baada ya hapo wana i activate account yako kwaajili ya internet banking. Kisha nenda kajisajili paypal.com,Ambapo utafata procedures rahisi. Kuna stage utafikia watakwambia u confirm na kui link cad yako ambapo watakutoza 1.95usd. kisha watakurefund after 2-3 days,what you do unaenda kwenye bank kisha unaomba bank statement ambapo utakuta kuna 4digits code flan,hizo ndo utakuja kuziingiza kwenye paypal n Volaaaaaaa, you are confirmed!
 
Weka Picha Mkuu ili iwe rahisi kwa vilaza kama sisi kuelewa vizuri mkuu,ni vizuri kuficha other details cha msingi ni kuweke important things kwenye maelezo yako...Thank u in advance.
 
Kuna sehem 1 unatakiwa ujaze kadi #, je unaweka #ya kadi o akaunt? Kwa wenye masta kadi, hzo namba c ndo zle digit 3 za mwisho ktk utepe flan uliopo nyuma ya kadi? Msaada plz.
 
Umesema wanakata 1.95usd sasa sisi wenye a/c za Tsh inakuaje? Au wanakata equivalent to that, 1.95. Nijuze wakuu
 
kaka anza kutumia uone mauzi yake. Mi nishafanya process hiyo, ila ukitaka kulipwa wanakwambia mtu wa tz hawezi kulipwa kwa paypal kwa sasa! Hii ni pamoja na wewe mwenyewe kuhamishia pesa toka bank ac yako. Cheki website yao ina list ya nchi ambazo zinaruhusiwa. Majirani zetu kny wamo sisi bank zetu zimelala. Nilimuuliza branch manager crdb pugu rd, hajui hata paypal ni mnyama gani
 
unaweka kadi no. ile ambayo inakaa kwa mbele ya kadi yako,zile tatu ndo hizo ambazo zipo kwenye kautepe
 
kaka anza kutumia uone mauzi yake. Mi nishafanya process hiyo, ila ukitaka kulipwa wanakwambia mtu wa tz hawezi kulipwa kwa paypal kwa sasa! Hii ni pamoja na wewe mwenyewe kuhamishia pesa toka bank ac yako. Cheki website yao ina list ya nchi ambazo zinaruhusiwa. Majirani zetu kny wamo sisi bank zetu zimelala. Nilimuuliza branch manager crdb pugu rd, hajui hata paypal ni mnyama gani
Mkuu vipi ukitaka kununu kitu online mfano ebay au Amazon hapo haisumbui?
 
Mkuu vipi ukitaka kununu kitu online mfano ebay au Amazon hapo haisumbui?

Naamini haisumbui unaweza kulipa bila tatizo, tatizo linakuja katika kutumiwa huo mzigo - baadhi ya wafanyabiashara wengi kwenye Amazon na Ebay huwa hawaposti Afrika, kwa sababu wenzetu wa Nigeria wameshaharibu sana , mara waseme kitu hakijafika na huko nyuma waliwaliza wengi na fake paypal payments.
East Africa ni new territory kwa online business transactions na ina-catch up faster thanks to Kenyans, wao wakenya na wasauzi miaka michache nyuma ilikuwa kama bongo unaweza kutuma tu ama kununua kitu through paypal lakini ilikuwa huwezi kupokea lakini sasa unaweza kutuma na kupokea, bongo unaweza kutuma tu, na sio kwenye online business tu hata kama una jamaa yako unataka kumtumia hela Ulaya ama Marekani unahitaji kutumia email address tu na kumtumia hela as long as ana bank account na credit/debit card. Ni very easy na faster.
Pay-pal ni safe na inakulinda wewe mnunuzi na muuzaji vilevile through buyer/seller protection. Ukinunua kitu halafu kikawa sicho ama hukukipata unarejeshewa hela yako yote ilimuradi isizidi siku 45 tokea ununue hiko kitu. Lakini hii buyer protection haikulindi katika mauziano ya magari ama Nyumba na baadhi ya vitu vya thamani kubwa.
Transaction zote za paypal wanafanya kwa dola, wewe unatumia local currency na wanaconvert into dollar using current exchange rates.
Hio waliosema wakubwa hapo juu ya ku-deposit $1.95 ni account verification process, kwa sababu unapofungua akaunti ya pay-pal bado haijawa verified, hadi wao wajue na kukuamini na kuambatanisha pay-pal na bank account yako, huwa wanakutilia kiwango kidogo cha fedha kwenye akaunti yako mfano $0.95 na $1.70 kisha unapo- log kwenye account yako ya paypal watakwambia uingize amount waliyokutumia exactly kama inavyoonyesha kwenye akaunt statement yako, ukimaliza hapo tayari wanakuthibitisha (verified) na ndipo unaweza kuitumia akaunti yako.
I hope that helps.
 
Back
Top Bottom