donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
Niaje wakuu? natumaini hii post tayari kama ishawahi kuepo ivi ila naomba niweze kushare knowledge na wenzangu kwani nimefanikiwa hii kitu hadi raha japo bado sijaaanza transactions. Ni hivi,jinsi ya kufanya ni kwenda kwenye branch yako ulipofungulia account then unawaomba kujiunga na internet banking (its free),kuna form unajaza na baada ya hapo wana i activate account yako kwaajili ya internet banking. Kisha nenda kajisajili paypal.com,Ambapo utafata procedures rahisi. Kuna stage utafikia watakwambia u confirm na kui link cad yako ambapo watakutoza 1.95usd. kisha watakurefund after 2-3 days,what you do unaenda kwenye bank kisha unaomba bank statement ambapo utakuta kuna 4digits code flan,hizo ndo utakuja kuziingiza kwenye paypal n Volaaaaaaa, you are confirmed!