msaada jinsi ya kuongeza download speed

komredi ngosha

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
382
71
kuna jamaa namfahamu hua akiingia katika internet cafe anaweza kudownload mpaka 20 gb na zaidi ndani ya saa moja. Tatizo hasemi hata kwa hela, anaejua pls tupeane ujuzi jamani.
 
kuna jamaa namfahamu hua akiingia katika internet cafe anaweza kudownload mpaka 20 gb na zaidi ndani ya saa moja. Tatizo hasemi hata kwa hela, anaejua pls tupeane ujuzi jamani.
Mkuu ni cafe gani hiyo inayoruhusu mtu kupakua GB nyingi hizo unajua huo ni mtaji wa cafe kwa wiki?
 
Huyo ni mwongo, 20Gb hata kwenye connection ya 10Mbps itakuchukua zaidi ya masaa manne kudownload under perfect conditions.
Na hakuna kitu kama kuongeza download speed, kama unapewa 1Mbps na provider wako ndo utaishia hapo hapo.
 
Huyo ni mwongo, 20Gb hata kwenye connection ya 10Mbps itakuchukua zaidi ya masaa manne kudownload under perfect conditions. <br />
Na hakuna kitu kama kuongeza download speed, kama unapewa 1Mbps na provider wako ndo utaishia hapo hapo.
<br />
<br />
 
Huyo ni mwongo, 20Gb hata kwenye connection ya 10Mbps itakuchukua zaidi ya masaa manne kudownload under perfect conditions. <br />
Na hakuna kitu kama kuongeza download speed, kama unapewa 1Mbps na provider wako ndo utaishia hapo hapo.
<br />
<br />
Mkuu mbona sikupati vizuri, hivi unapewa throughput au hiyo inategemea modem uliyonayo na provider wako na vile vile kama connection hiko dedicated au contended. Mara nyingi modem zenyewe ndiyo zinajiamlia speed gani hitumike at any given time kutegemea na condition ya media zilipofungwa, na infact max speed ambazo huwa quoted na manufacturer wa modems huwa hazifikii na trade gimmick tu. Kwa hiyo mimi nafikili provider anahuza Mega/Giga/Tera BYTES za data na siyo Mbps, he/she won't give a hoot if it takes you femto seconds or the whole day to download large files. I stand to be corrected.
 
Nadhani download speed zinakuwa determined na ISP wako. Kwa mfano huku UK IPS huwa wanasema kuwa wanakupa package of up to 50Mb speeds with unlimited downloads. Hi maana yake ni kwamba you can download as much data as you want with maximum speeds of 50Mb. The maximum speeds are only obtained under perfect conditions.
 
<br />
<br />
Mkuu mbona sikupati vizuri, hivi unapewa throughput au hiyo inategemea modem uliyonayo na provider wako na vile vile kama connection hiko dedicated au contended. Mara nyingi modem zenyewe ndiyo zinajiamlia speed gani hitumike at any given time kutegemea na condition ya media zilipofungwa, na infact max speed ambazo huwa quoted na manufacturer wa modems huwa hazifikii na trade gimmick tu. Kwa hiyo mimi nafikili provider anahuza Mega/Giga/Tera BYTES za data na siyo Mbps, he/she won't give a hoot if it takes you femto seconds or the whole day to download large files. I stand to be corrected.

Provider anaset speed either makusudi au kutokana na limitations za mitambo yao, hauwezi ukazidisha spidi zaidi ya limit ya provider kwa kubadili modem. Unaweza ukaongeza speed kama modem yako ya zamani ilikuwa na uwezo chini ya spidi unayopewa na provider.

Kwa hiyo spidi itakayopata ni spidi ya chini kabisa katika connection yenu, kwa mfano una modem inasupport 10Mbps lakini provider anakupa 56Kbps spidi yako itakuwa 56 na hakuna kulikwepa hilo.

Ukitaka kuona providers wanalimit speed angalia VodaBomba Vs VodaSpidi.

Spidi za kwenye modem kweli hazifikiki lakini sio gimmick ndio njia pekee ya kuweza kuzirate hizi modem, kwa sababu spidi za kweli zinategemea too many variables ambazo ziko tofauti kila wakati kwa mfano ukimove kutoka jikoni kwenda chumbani unapata spidi tofauti kutegemea na mawimbi yanavyokufikia, mvua ikinyesha unapata spidi tofauti etc hakuna njia ya modem manufacturer kuweza kuyajua hayo.
So spidi ua modem ni njia ya kufananisha modems sio njia ya kujua utapata spidi gani.
 
kuna jamaa namfahamu hua akiingia katika internet cafe anaweza kudownload mpaka 20 gb na zaidi ndani ya saa moja. Tatizo hasemi hata kwa hela, anaejua pls tupeane ujuzi jamani.
Mrongo mkubwa huyo
Thats impossible kwa hali tuliyonayo sasa.
 
Huyo ni mwongo, 20Gb hata kwenye connection ya 10Mbps itakuchukua zaidi ya masaa manne kudownload under perfect conditions.
Na hakuna kitu kama kuongeza download speed, kama unapewa 1Mbps na provider wako ndo utaishia hapo hapo.
Ni Kweli hicho kitu hakuna hata ya kwangu mimi speed yake ni hii hapa Last Result:
Download Speed: 3333 kbps (416.6 KB/sec transfer rate)
Upload Speed: 622 kbps (77.8 KB/sec transfer rate)
August 16, 2011 6:18:32 AM GMT+03:00 na Siwezi ku Download GB 20 kwa saa moja hicho kitu hakiwezekani hata kidogo na mimi sipo bongo nipo Ughaibuni.
 
Achana na connection speed, ni server chache sana ambazo zitakuruhusu kudownload kwa spidi hiyo, so hata angekuwa na connection inayomwezesha kudownload 20GB/hour, server haziwezi kumpa files at 20GB/hour.
 
Provider anaset speed either makusudi au kutokana na limitations za mitambo yao, hauwezi ukazidisha spidi zaidi ya limit ya provider kwa kubadili modem. Unaweza ukaongeza speed kama modem yako ya zamani ilikuwa na uwezo chini ya spidi unayopewa na provider. <br />
<br />
Kwa hiyo spidi itakayopata ni spidi ya chini kabisa katika connection yenu, kwa mfano una modem inasupport 10Mbps lakini provider anakupa 56Kbps spidi yako itakuwa 56 na hakuna kulikwepa hilo.<br />
<br />
Ukitaka kuona providers wanalimit speed angalia VodaBomba Vs VodaSpidi.<br />
<br />
Spidi za kwenye modem kweli hazifikiki lakini sio gimmick ndio njia pekee ya kuweza kuzirate hizi modem, kwa sababu spidi za kweli zinategemea too many variables ambazo zi <br />
So spidi ua modem ni njia .
<br />
<br />
Mkuu jaribu kusoma kwa makini nilicho andika humu nemesema speed za modem zinategemea zimefungwa kwenye media zipi na prevailing condition wakati wa matumizi, vile vile nimesema kwamba modem zenyewe zina ongea na kukubaliana ni speed hipi itumike at any given time kutegemea na condition ya media husika sikuhishia hapo niliongeongezea kwamba kama Provider ameset kwamba speed hisizidi kiwango fulani kwa client wake basi by default modem za client zitacomply na modem za Provider, kumbuka nimesema zinakuwa na handshake(mazungumzo) kabla ya kutuma data. Hapa naona unazungumzia zaida mambo ya wireless umesahau kwamba modem zinafungwa vile vile kwenye waya za simu. Labda nikufahamishe kwamba tuliwahi kufanya utafiti na watu weledi wenye test instrument za dunia ya kwanza tuligunduwa kwamba max speed ambazo manufacture wanaquote haziwi attained, kumbuka modems zilikuwa connected through copper wire kwa hiyo hapakuwepo na constraits ulizo zungumzia humu yaani: mvua,snow, galactic noises and what have you. Mwisho mpaka sasa hivi hakuna manufacturer yeyote ambaye ameweza kufikia speed ya 100Mbps through the air.
 
<br />
<br />
Mkuu jaribu kusoma kwa makini nilicho andika humu nemesema speed za modem zinategemea zimefungwa kwenye media zipi na prevailing condition wakati wa matumizi, vile vile nimesema kwamba modem zenyewe zina ongea na kukubaliana ni speed hipi itumike at any given time kutegemea na condition ya media husika sikuhishia hapo niliongeongezea kwamba kama Provider ameset kwamba speed hisizidi kiwango fulani kwa client wake basi by default modem za client zitacomply na modem za Provider, kumbuka nimesema zinakuwa na handshake(mazungumzo) kabla ya kutuma data. Hapa naona unazungumzia zaida mambo ya wireless umesahau kwamba modem zinafungwa vile vile kwenye waya za simu. Labda nikufahamishe kwamba tuliwahi kufanya utafiti na watu weledi wenye test instrument za dunia ya kwanza tuligunduwa kwamba max speed ambazo manufacture wanaquote haziwi attained, kumbuka modems zilikuwa connected through copper wire kwa hiyo hapakuwepo na constraits ulizo zungumzia humu yaani: mvua,snow, galactic noises and what have you. Mwisho mpaka sasa hivi hakuna manufacturer yeyote ambaye ameweza kufikia speed ya 100Mbps through the air.

Sasa sielewi ni nini tunachobisha kumbe unaelewa kuwa provider anaset spidi? Au he doesn't give a hoot? Sioni uliposema chochote kuhusu handshake.
Wired connection variables ni tofauti lakini tatizo ni lile lile, hakuna njia ya kujua connection kati ya provider na user itakuwa na hali gani exactly.

Najua kuwa spidi za modem hazifikiki, ni njia ya kuzirate modem tu sio njia ya kujua spidi, kama gas millage ya magari isivyofikika ila inakuruhusu kufananisha matumizi ya mafuta ya magari tofauti.

Actually LTE imefika karibia 300Mbps kwenye field tests, il haiko available commercially kwa spidi hiyo.
 
ndugu, hii ni habari ya kweli kabisa mimi nimewahi kuingia nae cafe kimara kwa saa moja akatoka na 15 gb ameshadownload
nimesikia tetesi hua anacheza na ports number kuongeza speed. Mtaalamu wa ports number atujuze
 
ndugu, hii ni habari ya kweli kabisa mimi nimewahi kuingia nae cafe kimara kwa saa moja akatoka na 15 gb ameshadownload
nimesikia tetesi hua anacheza na ports number kuongeza speed. Mtaalamu wa ports number atujuze
anyway..hapa kuna mambo mawili yananitatiza...kwanza huyo mtu anatumiaga nini kudownload..torrents au file za kawaida...na pili hiyo cafe anayokwenda pengine anajua password za settings mbalimbali za network yake ...kama haya yote ni sahihi anaweza akaongeza speed ya kudownload endapo atakuwa anatumia torrents au download manager (ambazo nna hakika cafe nyingi wanazipiga marufuku na ndio maana wana ifunga administrator account kwa password ili usiweze ku install program kama hizi). sasa kama anajua hizo password ( na pengine ndo maana hataki kukwambia) anaweza kuongeza speed ya kudownload kidogo (SIDHANI KAMA ITAWEZA FIKA HIYO 20GB/HR kama unavyodai ila kitu cha one hour ivi unaweza tumia kama 20-30 minutes) kwa kucheza na settings mbalimbali kwenye computer na router inayotumika kusambazia internet( kumbuka vyote vinahitaji administrator access ili uweze ku set)...zipo njia nyingi tu za kufanya ujanja huu...kama upo interested jaribu kucheck hizi page...increase-download-speed-of-torrentshttp://en.kioskea.net/forumaffich-72191-increase-download-speed-of-torrents/ na hii forward-internet-connection hizi ni baadhi tu kwa kuanzia na mimi niliwahi kujaribu kwenye torrents na ikaimprove speed kutoka 3kbps nliokuwa mwanzo mpaka sasa napata hadi 18-30kbps nnapokuwa nadownload na internet zetu za kishenzi ila ikiwa imetulia napata mpaka 150-300kps kwenye u torrents na nilishawahi kudownload compilation ya windows 7 yenye 32 na 64 bit ikiwa na premium na ultimate kwa pamoja kama 18gb hivi kwa kutumia masaa kama manne tu nakumbuka... ila hiyo ya 20gb kwa saa...mhh..labda kama kuna kitu cha ziada tuambiane..
 
ndugu, hii ni habari ya kweli kabisa mimi nimewahi kuingia nae cafe kimara kwa saa moja akatoka na 15 gb ameshadownload
nimesikia tetesi hua anacheza na ports number kuongeza speed. Mtaalamu wa ports number atujuze

Hakuna kitu kama hicho. Just google this and you will know that what you are talking about is not true given the internet speeds that we currently have in Tanzania.
 
kuna jamaa namfahamu hua akiingia katika internet cafe anaweza kudownload mpaka 20 gb na zaidi ndani ya saa moja. Tatizo hasemi hata kwa hela, anaejua pls tupeane ujuzi jamani.
mkuu huyo jamaa amekueleza kwa maneno au huwa unamshuhudia akiDownload huko cafe, kwasababu 20GB kwa 1Hr' naona kama ni ndoto flani zisizowezekana...20GB na zaidi kwa lisaa limoja inamaana, 333.3MB kwa dakika moja. nawasiwasi kama alikwambia basi kakudanganya......:twitch::twitch:
 
Watu wamekuwa wakali kwa sababu ya 20GB kwa saa moja, labda tumuulize vizuri aliyeleta hoja hii huenda anaishi Korea ya Kusini wao wameshatandika line zenye uwezo wa 1000 Mbps. Nchi nyingi za Europe na Amerika ya Kaskazini wanaishia 100 Mbps.
 
Back
Top Bottom