Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Wadau nimenunua hii gadget ili kushare mobile interent from 3g modem za Vodacom/Zantel ; haikubali .................................KLana iko ok kwani ndiyo nayotumia nikiweka adsl modem ya TTCL. Kulikoni na nini natikwa kufanya?