hallo,naomba niulize ivi ni brand gani ya washing machine ni nzuri na ninaweza nikaipata hapa tz kwa bei poa?na je ni nini nitahitaji kujua kabla ya kununua?ahsanteni
How do I get rid of the Trojan horse virus
Basically I am aware of 4 ways everyone can use to get rid of the trojan horse virus.
Buy a new computer (you won't believe me but it works!).
Call a...
Siku za nyuma nilikuwa natumia vizuri, lakini kuna siku niliondoka nilivyorudi nikaona ile program/software ya modem ime kuwa unistalled nilipojaribu kuweka modem ili ni install modem haionekani...
inakuaje wakuu? kwa wale gamers nataka niwapashe habari njema,in no time nitatia mkono wangu kwrnye kitu cha fifa 12. kwenye ijumaa this week nitakua nimeshaipata and guess wat? nitaisupply for...
Wadau naomba msaada khs internet ya mtandao upi itanifanyia fair coz kudownload ni sehem kubwa ya matumizi yangu ya internet na hata kama si hvyo bado matumiz yangu ni ya mfululizo NIMEJARIBU VODA...
Jamani wataalam,naombeni kujuzwa hii Zuku TV network(kama sikosei). Naona wanatoa service kule Kenya,huku bongo vipi??
Maana naona kama Channel zao nyingi kidogo ingawa sijaona Channel yoyote ya...
habari za mida hii wana jamii forum.
jamani naomba msaada ya kupata software ya kuflash sonyericsson w900i na jinsi ya kuflash hio simu coz cable yake ninayo na internet ipo vizuri
asanteni wana jf
Jamani mie nina simu tatu ninazotumia siku zote na kila moja ina line yake. Lakini nina ugonjwa wa kusahau na wakati mwingine naweza kusahau simu moja au mbili ofisini au nyumbani. sasa nataka...
Jana nimeinstal TrustPort USB antivirus kwenye flash yangu aina ya SONY USB2.0 (4GB), no problem occured hadi leo nilipocopy file kadhaa za ukubwa wa kama 1.3GB. Sasa shida imekuja kwamba...
Jamani nimekutana na tatizo moja dogo, nime design website yangu nikaweka radius corners/curves nimetest kwenye firefox imekubali lakini kwenye IE imekataa ninasuluhisha vipi hapo?
Hii ni ile tab(sizani kama niko sawa) yaani zile information za mobile broadband nnapodisconect modem na kutaka kukloz inagoma ila inakubali kuminimize tu ila haitoki labda nikizima na kuwasha...
Habari waheshimiwa,
Nimekwama hiyo printer ina print mixed colours kote kwenye black and white na pia kwenye color option, nimejaribu kuweka catridge mpya matokeo yamekuwa yale yale nimechukuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.