Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

hallo,naomba niulize ivi ni brand gani ya washing machine ni nzuri na ninaweza nikaipata hapa tz kwa bei poa?na je ni nini nitahitaji kujua kabla ya kununua?ahsanteni
0 Reactions
3 Replies
3K Views
How do I get rid of the Trojan horse virus Basically I am aware of 4 ways everyone can use to get rid of the trojan horse virus. Buy a new computer (you won't believe me but it works!). Call a...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Siku za nyuma nilikuwa natumia vizuri, lakini kuna siku niliondoka nilivyorudi nikaona ile program/software ya modem ime kuwa unistalled nilipojaribu kuweka modem ili ni install modem haionekani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
SPEEDbit Video Accelerator * Eliminate buffering of and other web videos * Watch smooth HD videos with Premium acceleration * Video...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Ni software ipi ya kufungua modem za ZTE please jamani.
0 Reactions
0 Replies
845 Views
inakuaje wakuu? kwa wale gamers nataka niwapashe habari njema,in no time nitatia mkono wangu kwrnye kitu cha fifa 12. kwenye ijumaa this week nitakua nimeshaipata and guess wat? nitaisupply for...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Wadau naomba msaada khs internet ya mtandao upi itanifanyia fair coz kudownload ni sehem kubwa ya matumizi yangu ya internet na hata kama si hvyo bado matumiz yangu ni ya mfululizo NIMEJARIBU VODA...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani wataalam,naombeni kujuzwa hii Zuku TV network(kama sikosei). Naona wanatoa service kule Kenya,huku bongo vipi?? Maana naona kama Channel zao nyingi kidogo ingawa sijaona Channel yoyote ya...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
habari za mida hii wana jamii forum. jamani naomba msaada ya kupata software ya kuflash sonyericsson w900i na jinsi ya kuflash hio simu coz cable yake ninayo na internet ipo vizuri asanteni wana jf
0 Reactions
2 Replies
910 Views
Jamani mie nina simu tatu ninazotumia siku zote na kila moja ina line yake. Lakini nina ugonjwa wa kusahau na wakati mwingine naweza kusahau simu moja au mbili ofisini au nyumbani. sasa nataka...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Naomben kujua bundle zao za internet zikoje?bei yao ya chini na ni kwa mb ngapi?
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Jana nimeinstal TrustPort USB antivirus kwenye flash yangu aina ya SONY USB2.0 (4GB), no problem occured hadi leo nilipocopy file kadhaa za ukubwa wa kama 1.3GB. Sasa shida imekuja kwamba...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Dar es salaam only.
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Jamani nimekutana na tatizo moja dogo, nime design website yangu nikaweka radius corners/curves nimetest kwenye firefox imekubali lakini kwenye IE imekataa ninasuluhisha vipi hapo?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau mwenye driver hapo juu anisaidie tafadhali nakosa uhondo wa movies na music! Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii ni ile tab(sizani kama niko sawa) yaani zile information za mobile broadband nnapodisconect modem na kutaka kukloz inagoma ila inakubali kuminimize tu ila haitoki labda nikizima na kuwasha...
0 Reactions
2 Replies
956 Views
ni daladala(NISSAN CIVILIAN) kutoka tandika kwenda posta...bado iko BOMBA na bei yake ni nafuu sana kwa maelezo zaidi piga 0755417774 or 0716172067
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari waheshimiwa, Nimekwama hiyo printer ina print mixed colours kote kwenye black and white na pia kwenye color option, nimejaribu kuweka catridge mpya matokeo yamekuwa yale yale nimechukuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu, kwa wale wajuzi wa Visual Basic nahitaji kufanya project ya chuo kwa kutumia hiyo language. Naomba mnisaidie title, shukrani !
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani wadau simu yangu NOKIA 1280 IMEGOMA KUWAKA.INAANDIKA CONTACT SERVICE.TATIZO NI NINI.NAOMBENI MSAADA JAMANI....
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom