Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Jamani mie nina simu tatu ninazotumia siku zote na kila moja ina line yake. Lakini nina ugonjwa wa kusahau na wakati mwingine naweza kusahau simu moja au mbili ofisini au nyumbani. sasa nataka nizi-set ili ikiwezekana walau niwe naweza kupokea msg zangu kwenye simu yoyote hata kama nyingine nimezisahau. Naombeni utaalamu huu kwa wanaojua. Simu zenyewe moja ni samsung na mbili ni nokia