habar zenu wanajamvi, nauza simu yangu aina ya samsung, model C3303K touch-screen. Bado ni mpya, chaji kwa matumiz ya kawaida ni siku 4-5, na bei ni 90,000, kuna mazungumzo
Makamba
Kwa upande wake Naibu Waziri wa Wizara ya Sayansi, Teknolojia na Mawasiliano, January Makamba ambaye pia ni Mbunge wa Bumbuli, alisema moja ya mambo ya kufanya katika wizara hiyo ni...
jamani wale wanopenda kuumiza kichwa, hivi kuchakachua hizi mazaga ya startimes nipate channel kwa bei nafuuu inawezekana kweli, nipenijibu kama inawezekana nianze kazi ya kuumiza kichwa.
:spy::spy:
nafahamu mnajua application nyingi za kuchat kwa simu ila i think hii ni nzuri kwa watu wa simu ambazo sio smartphone na wanataka kuchat at the same time kubrowse kutumia njia hii
Kwanza uwe...
tukiwa njiani tunaelekea kusini mwa tanzania maeneno ya moro ndani ya range rover hii mara ikapata pancha tairi ya nyuma (mzinga) na gari ikazima hapo hapo....tumefix tairi bau gari haiwaki...
Wana Tech Nina Huawei Ideos U8150-D natumia Airtel, tatizo nikua Web browsers hazipigi mzigo inayo kubali ni opera mini, yaani Opera mobile 12 na UC browser zinagoma af opera mobile inasema...
Ukiwa kama mdau muhimu wa mabadliko katika teknolojia, naomba utembelee www.wilguy-jibebe.blogspot.com, na utoe maoni yako. Maoni yako ni muhimu sana, na yatatumika kujenga MUSTABALI WETU.
Habari zenu Wakubwa. Naomba msaada kwa wataalamu. Vipi naweza ku download You tube video katika simu Nokia C1-01. Ikiwa inawezekana, jee nipitie hatua gani? Thanks.
Light from an alien "super-Earth" twice the size of our own Earth has been detected by a NASA space telescope for the first time in what astronomers are calling a historic achievement.
NASA's...
OK bado niko katika marekebisho ya hapa na pale so narusha now mpaka saa kumi kama testing then ikiwa bomba kabisa muda huo wote, nitatoa schedule masaa yapi na yapi nitakuwa narusha LIVE...
habari zenu wakuu. Naombeni mnisaidie..kuna mtu amenipa laptop yake nimsaidie mpya ya lenovo nimsaidie kuweka baadhi ya programs na kumake sure everything kiko sawa then nimrudishie..ile laptop...
Kesho usiku saa tatu discovery channel wataonesha jinsi makomandoo wa kimarekani walivyoingia nyumbani kwa Osama na kumuua.
Wadau nadhani ni vizuri kuicheki hii kitu.
HI WanaJF
I have being trying to customize my MS Access 2007 using XML codes and VBA by nimefail kulink form uliyo katika XML with VBA
This is may current situation;
Public Function...
If you visit a cyber cafe and find find any black pin attached to the CPU as shown in the picture, do not use that system. This pin is actually a connection which saves all your data you enter...
Akhsalaam aleiko wakuu wa jamvi hili. Nina tatizo la kufungua page yangu ya e-mail (Yahoo Mail). Kama muda wa wiki mbili au zaidi najaribu ku-sign in lakini napewa message kwamba eti kuna server...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.