Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

habar zenu wanajamvi, nauza simu yangu aina ya samsung, model C3303K touch-screen. Bado ni mpya, chaji kwa matumiz ya kawaida ni siku 4-5, na bei ni 90,000, kuna mazungumzo
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Makamba Kwa upande wake Naibu Waziri wa Wizara ya Sayansi, Teknolojia na Mawasiliano, January Makamba ambaye pia ni Mbunge wa Bumbuli, alisema moja ya mambo ya kufanya katika wizara hiyo ni...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
jamani wale wanopenda kuumiza kichwa, hivi kuchakachua hizi mazaga ya startimes nipate channel kwa bei nafuuu inawezekana kweli, nipenijibu kama inawezekana nianze kazi ya kuumiza kichwa. :spy::spy:
0 Reactions
4 Replies
3K Views
nafahamu mnajua application nyingi za kuchat kwa simu ila i think hii ni nzuri kwa watu wa simu ambazo sio smartphone na wanataka kuchat at the same time kubrowse kutumia njia hii Kwanza uwe...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
tukiwa njiani tunaelekea kusini mwa tanzania maeneno ya moro ndani ya range rover hii mara ikapata pancha tairi ya nyuma (mzinga) na gari ikazima hapo hapo....tumefix tairi bau gari haiwaki...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana Tech Nina Huawei Ideos U8150-D natumia Airtel, tatizo nikua Web browsers hazipigi mzigo inayo kubali ni opera mini, yaani Opera mobile 12 na UC browser zinagoma af opera mobile inasema...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu nina photocopy machine aina ya CANON MF4450.je kwa biashara inafaa????
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ukiwa kama mdau muhimu wa mabadliko katika teknolojia, naomba utembelee www.wilguy-jibebe.blogspot.com, na utoe maoni yako. Maoni yako ni muhimu sana, na yatatumika kujenga MUSTABALI WETU.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu Wakubwa. Naomba msaada kwa wataalamu. Vipi naweza ku download You tube video katika simu Nokia C1-01. Ikiwa inawezekana, jee nipitie hatua gani? Thanks.
0 Reactions
1 Replies
735 Views
Simu yangu ya 'hp ipaq 500 series' haikamati network ya simu (hamna huduma yoyote ya simu) line (simcard) inasoma.
0 Reactions
0 Replies
541 Views
Light from an alien "super-Earth" twice the size of our own Earth has been detected by a NASA space telescope for the first time in what astronomers are calling a historic achievement. NASA's...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Napenda kujua jina lake au kama mtu anauza basi tufahamishane
0 Reactions
9 Replies
2K Views
OK bado niko katika marekebisho ya hapa na pale so narusha now mpaka saa kumi kama testing then ikiwa bomba kabisa muda huo wote, nitatoa schedule masaa yapi na yapi nitakuwa narusha LIVE...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
habari zenu wakuu. Naombeni mnisaidie..kuna mtu amenipa laptop yake nimsaidie mpya ya lenovo nimsaidie kuweka baadhi ya programs na kumake sure everything kiko sawa then nimrudishie..ile laptop...
0 Reactions
2 Replies
796 Views
kila programme ninayofungua inafunguka window media centre,nfanye nin tafadhali!???natanguliza shukrani!!!!!!!!!!
0 Reactions
4 Replies
993 Views
Kesho usiku saa tatu discovery channel wataonesha jinsi makomandoo wa kimarekani walivyoingia nyumbani kwa Osama na kumuua. Wadau nadhani ni vizuri kuicheki hii kitu.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
next SUPERCAR - FAHRRADI FARFALLA FFX - YouTube Kazi kwenu.
0 Reactions
0 Replies
554 Views
HI WanaJF I have being trying to customize my MS Access 2007 using XML codes and VBA by nimefail kulink form uliyo katika XML with VBA This is may current situation; Public Function...
0 Reactions
0 Replies
508 Views
If you visit a cyber cafe and find find any black pin attached to the CPU as shown in the picture, do not use that system. This pin is actually a connection which saves all your data you enter...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Akhsalaam aleiko wakuu wa jamvi hili. Nina tatizo la kufungua page yangu ya e-mail (Yahoo Mail). Kama muda wa wiki mbili au zaidi najaribu ku-sign in lakini napewa message kwamba eti kuna server...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom